Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana

Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana

P
Police wanataka kutupanda kichwani, nchi ipo na matatizo mengi ya kusolve ila unashangaa katika mambo ya kijinga inatumika rasilimary mda , pesa utafiki wegner group, ambao hawajui changamoto zinazolikabili taifa, mfano leo kwa nguvu nyingi iliyotumiwa ni pesa ngapi zimeenda kwa nchi maskin kama hii?

Haya sasa hao hao wamepatikana na wengine waliokamatwa wako wapi , na jumla wangapi na ambao bado wangapi? Lazima kujua

Na vipi ikijulikana idadi ya waliokamatwa na waliorejeshwa idadi haishabiani mtawatoa wapi? na wakianza daiwa kama ikatokea ipo hivyo?

Hizi kazi ni dhamana siku kinauma kwa mfano wengine waliokupa maagizo wanakaa pembeni, unaburuzwa ICC na ina kula kwako , unaacha familia na watoto, tukisema mwaona tunawachukia

Mfano leo vipi ikasemekana waliokamatwa ni watu elf mbili nyie mnakuja na watu miambili , na watu wakaja na ushahidi wa watu wao , IGP utaiambia nini dunia ,siombei itokee

Tukisema kufanya kazi kwa mjibu wa sheria ndo hii huwa tunamanisha , ila huwa hamuelewi, taratibu za ukamataji si upo , why vamia mtu kama jambazi , je PGO inasema hivyo

Nimemaliza,
Polisi bongo wengi ni vilaza
 
Tanzania ni nchi ya amani tuwe wapole
FB_IMG_1691736280953.jpg
 
Lissu ni mzushi....

Haeleweki....

Ni yeye aliyeipinga serikali kukubali MRAHABA mdogo wa sekta ya madini....

JPM akayafanyia kazi hayo.....ajabu TL akabadilika na kuwa WAKILI wa MAKAMPUNI hayo ya madini aliyoyapinga hapo awali [emoji1787][emoji1787]

Huyu ndugu ni NDUMILAKUWILI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Polisi weziiiiiiii warudishe simu shame on you ,yaani CCM mumeshindwa kuwanunulia hata simu hawa K!!🤣halafu kuna wale wengine wanaosaka vyupi mitaani shame on you ,rudisheni simu na chupi za watu
 
Lissu ni mzushi....

Haeleweki....

Ni yeye aliyeipinga serikali kukubali MRAHABA mdogo wa sekta ya madini....

JPM akayafanyia kazi hayo.....ajabu TL akabadilika na kuwa WAKILI wa MAKAMPUNI hayo ya madini aliyoyapinga hapo awali [emoji1787][emoji1787]

Huyu ndugu ni NDUMILAKUWILI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Fala wew jitu zima hovyooo
 
Lissu ni mzushi....

Haeleweki....

Ni yeye aliyeipinga serikali kukubali MRAHABA mdogo wa sekta ya madini....

JPM akayafanyia kazi hayo.....ajabu TL akabadilika na kuwa WAKILI wa MAKAMPUNI hayo ya madini aliyoyapinga hapo awali [emoji1787][emoji1787]

Huyu ndugu ni NDUMILAKUWILI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tatizo nyie michawa ya ccm ,kwanza mambo mengi huwa kufuatilia ni mwiko, daily kujitamba nipo karibu na mtu flan na kuvizia maokoto madogomadogo kwenu ndo la msingi ila wengi mpo wala hamko na uchungu na chama chenu, that's mmebweteka tu, useless ndani ya chama chenu. Mnasubili teuzi na matakamataka mengine

Na kwa tabia yenu hii ,chama kimekufa ,kwa kujua mpo na back up ya vyombo vya dola, ila nawambia hao mnaowategemea na kuwasifu , ipo siku watakuja ingia katika matatizo makubwa na mtawatelekeza , wala hamtakuja kuwa na msaada kwao wala familia zao, ni swala la mda na linakuja ,
 
TL ni mwanaharakati uchwara na si mwanasiasa wa maana.....[emoji1787]

TL anatumikia maslahi ya mabeberu wa BRUSSELS....

Ni yeye aliyeipinga Tanzania kulijenga bwawa la ufuaji umeme Mwalimu Nyerere kwa shinikizo la mabeberu wa BUNDESTAG....

TL hasimamii siasa za "nationalism" bali za kimataifa(ajenda za mabeberu)....

Wakati duniani kunatokea "political shift" kwa mataifa yanayoendelea kuanza "kujitambua" kwa kujiunga BRICS ,yeye anatung'ang'aniza kwenye "illusions na deceptions za mabwana zake" [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Akili za polisi wetu aibu sana,
Ni watu kama vijana wanaocheza singeli au mdundiko!
Siku zote wanatsfuta kiki za kijinga, yaani wana operate kama kuku asiye na kichwa!
Wiki hii vijana wa jwatz walipita maeneo mbali mbali wakichukua mabegi na nguo zenye kufanana na nguo zao, sasa kwa akili ndogo tu, kwa vile hizo nguo hazikutoka wala kuibiwa jeshini,ilibidi zichomwe moto! Sasa makenge Yale na umaskini wao utakuta yamezibeba yameenda kugawana!
Tatizo LA kuajiri vilaza failures wa form 4 div 4!
Unataka UHUNI uzuiliwe kwa njia gani ?!!

Unajikusanyaje bila ya kibali cha polisi ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Lissu ni mzushi....

Haeleweki....

Ni yeye aliyeipinga serikali kukubali MRAHABA mdogo wa sekta ya madini....

JPM akayafanyia kazi hayo.....ajabu TL akabadilika na kuwa WAKILI wa MAKAMPUNI hayo ya madini aliyoyapinga hapo awali [emoji1787][emoji1787]

Huyu ndugu ni NDUMILAKUWILI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Wananchi tunamuelewa sana.
 
Yes watu wamejua pia kwamba jamaa hashauriki na hasikilizi mtu.

Yes watu wamejua kua viongozi waandamizi kitaifa wamejitenga nae.

Yes wamejua kua jamaa kawaambia waandamizi wenzie kwamba waeendelee tu na kazi zao binafsi yeye anaweza kupiga kazi bila msaada wala ushauri wao.
He is a deluded chap....



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini CCM wanaingia kwenye Mitego ya Lissu kiulaini namna hii?
Huu mtego wa kumkamata shujaa hawakuuona kabisa pamoja na ma PhD yao kibao.
Hakuna mtego wowote ule....

Hivi CCM iliathirika kwa wale waliopinga "OPERESHENI VIJIJI VYA UJAMAA"?!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka lengo la polisi ni ili mkutano wa Karatu mjini usifanyike tu..

Nasikia wamasai wa vijiji vyote vya tarafa ya Ngorongoro ambao walikuwa wafanye mkutano na TL hiyo jana, karibu wote walikuja au walikuwa wameshajiandaa kumfuata Karatu kumsikiliza shujaa wao Tundu Lissu..!!

Wasichokijua polisi na hao wanasiasa wa CCM wanao watumia kufanya upumbavu huu ni kuwa, Tundu Lissu atafanya tu huo mkutano na utakuwa mkubwa na wenye kusisimua na kufuatiliwa zaidi na watu Tanganyika na duniani kuliko angefanya kabla hawajamfanyia uhuni wao huu wa leo...!!

Na wasichofahamu ni kuwa, usiku huu huu leo au kesho mapema tu kabla au baada ya kutoka huko polisi, atafanya Press Conference na kuwachana makavu makavu polisi na hao wanaowatuma...!!
Unawasemea hao wamasai waasi ?!!!

Wamasai raia wema walikubali kwenda Msomera Handeni....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kweli unabii wa Ian Ndlovu kuhusu kukamatwa kwa prominent leader atakayetoka nje ya nchi imetimia. Alitabiri mwaka jana wakati hali ikiwa shwari kabisa ya maridhiano.
Unatabiri kuwa kesho jua litawaka! Kukamatwa viongozi wa Chadema ni jambo la lazima kama ambavyo jua litawaka kesho.
 
Back
Top Bottom