Tundu Lissu na wenzake waachiwa kwa dhamana


Mtu yupo hotelini chumbani kwake huo mkusanyiko ulikuaje!?mbona kama atawashinda mapema sana mahakamani,kwann hamkusubiria atoke nje!?

Kuna muda jeshi letu huwa silielewi
Kabisa!
 
Unatabiri kuwa kesho jua litawaka! Kukamatwa viongozi wa Chadema ni jambo la lazima kama ambavyo jua litawaka kesho.
Alitabiri 2022 na hata kabla Lissu hajarudi. Alafu yeye yuko Zimbabwe, sasa amfatilie Lisu wa nini? Ila alisema watakamatwa na wenzake.
 
Namuona lodi lofa hahahah Afadhali naona kakosa perdiem ya leo. Ila IGP anamhujumu sana Mama yetu Dkt Samia. Lisu amuache tu hana influence na siasa za bongo ni mtafuta huruma ya wafadhili anavyopiga kerere ndiyo anaongeza wafadhili wa ngo yake maana hana mshahara
 
Kumbe dhamana hata weekend unapata!? Police vueni gwanda mpande jukwaani Kama mnataka kuwa wanaSiasa
Hahahahahahaha yaani IGP anamuangusha sana Dkt Samia jamani. Ungekuwa wewe wangesema weekend ni dhamana
 
Kama ana amini anacho fanya ni sahihi aendelee kufanya tena kwa nguvu zote Wala hakuna shida
 
Risasa zilishindwa sembuse taaluma yake? [emoji16][emoji16]

Labda waliamua kumpotezea muda tu lakini eti nihofu Lisu kakamatwa hata mbwa wa polisi hawezi mng’ata Lissu.
Aibu ni kwa polisi na matamko yenye mihuri sijui huwa hafikirii na kujihoji kwanza kabla wamkate?
 
Faiza Foxy. Umeongea kinyume chake ukweli ni kuwa Tundu Lissu ana First Class Degree ya SHERIA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM. Ukumbuke Jason's SHULE ya vipaji MAALUM ILBORU.
Best Student Faculty of LAW.
Upo?
Huyo dada yupo wazi kichwani
 
Unafanyeje mikutano ya HADHARA bila ya kibali cha polisi ?!![emoji15][emoji15][emoji1787]

TL ni wakili wa aina gani ?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna sheria inayowapa Polisi kutoa kibali cha Mikutano ya Kisiasa. Unless jeshi hilo ni sehemu ya Siasa. Bali Chama cha siasa kinatakiwa kuwapa taarifa tu ili kulinda usalama ambayo ndio kazi yao ya msingi kabisa. Siyo kuzuia mikutano ya kisiasa.
 
Mkuu tabia yako ta kutukana haifai na sisi waungwana hatukuungi mkono.

Unaweza kutoa maoni yako bila kutoa matusi na kauli za kukashifunwengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…