Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Huyo nae Kama anakuja basi aje..... Hizo biti zake za mtandaoni kila siku amekazana kusema anakuja kama sista P na hafiki
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B),Mhe.Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.

View attachment 1512217
Watanzania wa mitandaoni au.
 
Ana mamlaka Gani. Sema atazungumza na nyie. Acheni kumkuza mtuhumiwa. Na Ndo Hapo mnabore. Mnajua Ukweli kabisa. Ila mnapenda kulia Lia kama vigoriiiii. Ana kesi halali ya 2017 hata kabla hajasafiri. Kesi kama Hizo walizoshinda wakina Zitto nk. Lakini lazima ipite process. Hapo wala msitetee ujinga.
Waliotaka kumuua hawana kesi?
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B),Mhe.Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.

View attachment 1512217
Hivi Nani anamshaur Fundi Lieu?
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B),Mhe.Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.

View attachment 1512217
Hivi Nani anamshaur Fundi Lisu?
 
Anataka kuwatoa watu kwenye reli nini?

Habari ya mjini kwa sasa ni kura za maoni CCM,huo utopolo atausikiliza nani?

Kama anakuja si aje, ratiba yake inawasadia nini watanzania?
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B),Mhe.Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.

View attachment 1512217
he moto moto,uchaguzi wa mwaka huu utakua mtam sana
 
Kagairi kurudi kaamua kumuunga mkono membe akiwa huko huko ubelgiji
 
Pole sana Kipara...kigamboni wamekutia sana hasira..
Nchi nzima ipo kwenye furaha kubwa isipokuwa wewe na le mtumboz tu [emoji23] [emoji23][emoji23]
Nafurahi kuwa ccm ni chama dume nchi imesima kufuatilia yanayoendelea!
 
Lissu sometimes awe na akili, alie mwambia kuhutubia chadema ni sawa na kuhutubia taifa ni nani???
 
Back
Top Bottom