Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nakataa sio kweli iko siku utajua ukweli
Ukweli zaidi ya uliopo? Kwa taarifa yako hata Tundu Lissu mwenyewe akibadilisha maelezo na kuleta maelezo tofauti na ukweli, bado tutamuona hana jipya. Ukweli ni ukweli, hata mtumie nguvu kubwa kupita kiasi, bado haubadiliki.