Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndani ya Mwendokasi kuelekea Kariakoo

Afu badae tukutane kwenye jukwaa la CCM yule bwana aki tusaidia kutupigia kampeni kwa kutu taja taja
 
Mkuu hii ya Lisu ni akili?
 
BORA MAENDELEO KARIBU ZINAWARUDISHA WAZUNGU, WACHINA, WASOUTH KOREA + ERROR TERM TWENDELEE KUCHAPA KAZI MTUMWA ITAKUWA MTUKISS
 
Kumbe ndio ile namba yako ya bahati uliyopewa na mganga, wenzio tuna Mungu anaeishi.
Mungu huyuhuyu mliemkejeli wakati wa maombi kipindi cha corona?
 
Yule mganga uliyenipeleka kwake si ndio mamako mzazi, mwambie aache utapeli Mungu hapendi
Naona gamba lime-panic na bado, Lissu atawatoa kamasi mjaze mapipa.
 
Yeye kapanda lakini Rais Magufuli aliendesha kabisa bus la mwendokasi!
 
“Nimepanda mabasi ya mwendokasi UDART kwa mara ya kwanza. Hapa nimekutana na Dada Rachel ambaye ananipa uzoefu wake wa usafiri huu.
Mgombea uraisi mbelgiji ambaye ni mkazi wa Dar es salaam ilipo mwendo kasi miaka lakini ambaye hajawahi panda na hajui mwendokasi ni nini hadi asilimuliwe na Dada Rachel msichana wa kichaga toka kwa Mbowe!

Mwendokasi tu Lisu hajui ni nini sembuse uraisi ndio ataujua
 
Hata usipomkubali haisaidii sisi kutokumkubali lazima sindano izame ipasavyo kwenye masaburi yako
 
Eti hii ndio strategy ya ushindi ya Lisu!
 
“Nimepanda mabasi ya mwendokasi UDART kwa mara ya kwanza. Hapa nimekutana na Dada Rachel ambaye ananipa uzoefu wake wa usafiri huu. Naelekea Kariakoo”.

KWELI MAMBO YA MAGU MNAYAKUBALI
 
Ulitaka apande nini wakati akitumia usafiri wake mnawatuma police wamzuie kikubwa afike anakotaka kwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…