We jamaa Kigeugeu sana.... sanaaa, nahisi hata hiyo popularity yako katika uandishi wa habari ilipatikana wakati hakuna ushindani mkubwa kwa waandishi lakini ghorofani wewe hamna kitu.
Usianze kuaminisha watu kitu kama huna uhakika, mwandishi mzuri ni yule anaeweka akiba ya maneno...ili aweze kufafanua, na hata utabiri unatakiwa ubase katika uhalisia wa wakati,sababu na wapi.
Hayo umeyaona leo...bado siku 365X3+20 days almost...kuna mengi yanakuja...kuna downfall za huyo ndugu yako unaejipendekeza, na kuna kuinuliwa kwa wale usiowajua....
Na ule upuuzi wako wa Bashite ni kichwa, kwamba anafaa kutawala hii nchi, muombe mod aondoe zile uzi...kuna siku utazikana