Mental disorder is real exist! i don't know how you manage replying my post! seriously this should be into series of wonders in the world! scientist have to research again through you!Upo sahihi,hata mimi nilihisi una schizophrenia, nikaona nisikujibu maana utaishia kunidhihaki while nimetoa maoni yangu. Kumbe kweli. Umgonjwa wewe binti.
Lisu hana hoja
Sasa kichaa ni nani. Ni lisu au ni mimiHata kichaa hudhani yeye ndio mwenye akili kuliko wote, you are among the real foolish
Kwakuwa hujijui basi wewe ni kichaa haswaSasa kichaa ni nani. Ni lisu au ni mimi
Lisu ndo anasema ana akili sana kuzidi watanzania wote na wewe umesema anayesema ana akili kuzidi wote ni kichaa. Basi lisu ni kichaa according your wordsKwakuwa hujijui basi wewe ni kichaa haswa
Kwakuwa hujijui basi wewe ni kichaa haswa
Kuhusu nini?Hehe mnataka kumdunga tena? Hivi hamjifunzi?
Mwenye CV ya Kinana tafadhaliWiki mbili za Tundu Lissu kufanya maandamano Takribani Mikoa 6 mfululizo zimeacha Madhara makubwa.
Madhara hayo ni kufungua Wananchi kuhusu masuala mbali mbali ikiwemo Uchaguzi, Katiba Mpyaz Uhuruz na Utawala bora, siasa na maendeleo.
chawa wengi walijaribu Kujitutumua kumjibu ikashindikana sasa amekuja Makamu mwenyewe Cmd. Mh. Kinana dhidi ya Makamu Mwenyekiti Mh. Tundu Lissu!
Nini ambacho Mh. Kinana anadhani walisahau ambacho amerudi kufafanua?
Mmh sijawahi onaMwenye CV ya Kinana tafadhali
Sawa
Wanasiasa kwa kutafutana πππππ!
Kinana kaibua hoja zaidi badala ya kujibu hoja..Wiki mbili za Tundu Lissu kufanya maandamano Takribani Mikoa 6 mfululizo zimeacha Madhara makubwa.
Madhara hayo ni kufungua Wananchi kuhusu masuala mbali mbali ikiwemo Uchaguzi, Katiba Mpyaz Uhuruz na Utawala bora, siasa na maendeleo.
chawa wengi walijaribu Kujitutumua kumjibu ikashindikana sasa amekuja Makamu mwenyewe Cmd. Mh. Kinana dhidi ya Makamu Mwenyekiti Mh. Tundu Lissu!
Nini ambacho Mh. Kinana anadhani walisahau ambacho amerudi kufafanua?