Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Huyo hamna kitu afadhali kidogo kinanahDah! Hapa kimeumana. Kwa hiyo possibly deblabant naye chenga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hamna kitu afadhali kidogo kinanahDah! Hapa kimeumana. Kwa hiyo possibly deblabant naye chenga
Ukimjibu chizi na ww unakua chizi. Same applies here. Lissu tunamtegemea ajiandae na uchaguzi. Sio kuongea vitu kila siku vinaongelewa hadi mtaani. Ajiandae na ucchaguzi. Kuachiwa kufanya midahalo. Kuna wamaliza wakina lissu na mbowe.
Sasa kinana kweli anaweza kaa akazungumza na Lissu?Kinana Kwa Sasa hoja zake nyingi ni kama anajidhalilisha hana atakolesema la maana,,,Aheshimu Nyakati ni bora mnoo,,,aking'ang'ana itakuwa sio poa sana kwa ukongwe wakwe watamtusi ya nguoni
Unaonge tu kwa sababu hunijui umemkalili lisu as if ndo ana akili. Nyie mnasumbiwa na inferiority complex na elimu ndogo ndo mana mnamuona lisu ana akili. Mi mseminari rafiki yangu. Hakuna mseminari yeyote anaweza kimwabudu lisuSiku ukipata akili hata ya kutosha kizibo cha chupa ya Soda utafunguka. Walevi au vichaa huongea kama unavyoongea hapo. Sishangai.
Lissu ni fundiHuyu jamaa ni shida..... Ameshindikana. Kila mtu amejaribu lakini kashinwa. Fatma kanyamaza kabisa baada ya kujibiwa na Lissu. Kimefanyika kikao kujadili hoja zake wakaamua kumtuma Kinana. Naye amepuyanga tu. Lissu hawezekaniki.
Lini tena atahutubia? Sasa sitaki kosa msikia.
View attachment 2981436
Hehe mnataka kumdunga tena? Hivi hamjifunzi?Sana atawadanganya tuu,awataje aone kama hataishia gerezani.Lissu mnampoteza nyie
Una uhakika?Lisu hana hoja
HuhuhuuKinana kamjibu Lissu kiungwana,Lissu anajua hilo ndio maana baada ya kikao naambiwa kampigia simu Kinana kumuomba yaishe.
Unaonge tu kwa sababu hunijui umemkalili lisu as if ndo ana akili. Nyie mnasumbiwa na inferiority complex na elimu ndogo ndo mana mnamuona lisu ana akili. Mi mseminari rafiki yangu. Hakuna mseminari yeyote anaweza kimwabudu lisu
Kama hana hoja mnahangaikia nini. Eti nyie ndio think tanks wa sisiemu!Lisu hana hoja
Hata kichaa hudhani yeye ndio mwenye akili kuliko wote, you are among the real foolishMi namzidi mbali lisu hanifikii hata kwa chembe. He seems to be intelligent when talking to fools like many tanzanians do, mostly you and only you.
You seem to be as nincompoop as Lisu. Let me ignore your shortcomingsKilaza wewe. Wewe umezoea kuabudu watu ndo unadhani kuna wa kuabudiwa hapa? Ungekuwa na akili hata ulichoandika usingeandika hivyo. Kumbe kweli huna akili. Unaleta useminari? We dogo una ushamba wa kizamani sana.
Mmh imewauma kweli kweliHoja za Lissu zinahitaji utulivu sana kuzijibu. Hata hivyo Kinana amejitahidi ingawa kuna maeneo jibu pekee la hoja za Lissu ni Serikali 1 na Katiba Mpya. Otherwise hakuna anayeweza kuzijibu hata telete Malaika
Hapo ndio unaonekana kuwa mweupe zaidiMi namzidi mbali lisu hanifikii hata kwa chembe. He seems to be intelligent when talking to fools like many tanzanians do, mostly you and only you.
You might have encountered the term recently and think if you use that term will show you have something in your skull. You are just a brand new secondhand boy. mr. Chatterbox.You seem to be as nincompoop as Lisu. Let me ignore your shortcomings
Umeone eeeh... Anajikakamua kuthibitisha kuwa kichwani ni empty set.Hapo ndio unaonekana kuwa mweupe zaidi
Eti mashoga zake waarabu 😀😀😀