Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbege utaita meeee 😂😂dadekiWhy pess conference, si ayaseme kwenye vikao vyao. Huyu ataimaliza chadema..................na ameishaimaliza.
HAPANA sisi ndio tunarudi Chadema 😀Anakoelekea ni kuhama chama.
Hapana mkuu, hakuna jipya chini ya jua yale yale ya zamani ndo hujirudia.Unawaza kizamani sana 😂
Watakuwa wanajidhalilisha tu, kila kitu kiko waziMachawa wa mbowe watamshukia kama mwewe
Yaani hata naibu Kigaila alimzidi wakati Kigaila ni chawa tuTena Lisu kavumilia Sana kukaa kwenye nafasi zisizokuwa na madhara , kwa sasa hapo CDM nafasi iliyokuwa inamfaa Lisu n Uenyekiti Tu maana Umakamu mwenyekiti wakeulikuwa unazidiwa mpaka na nafasi ya Katibu mkuu
Mambo ya ajabu. Mpaka muda huu Lisu kawa mvumilivu Sana. Nafikiri huu ndio wakati wake sahihi, hakuna muda mwingineYaani hata naibu Kigaila alimzidi wakati Kigaila ni chawa tu
Mbona una makasiriko sana na issue ya Lissu kutaka kugombea uenyekiti?Aliogopa the unknown tu. Lakini lisu kilaza haswaa mi ndo namjua mana nimesima nae
Imesemekana hivi.Mchango ninao mkubwa sana. Mi ndo nilikiwa chief engineer wakati wa ujenzi wa SONGAS na sasa mi ndo chief engineer upanuzi wa bandari ya Dar es salaam. Panua ubongo uniulizie mana nimekupa jina
Imani ipi hiyo Mkuu?Hata wakiondoka wote Mbowe na Lissu CDM haiwezi kufa. So hakuna la kushangaza whatever comes on.
Msingi wa CDM ni imani na si watu.