Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

we fala kweli
 
We lafa kweli akatubu ,umemuelewa anasema ...kwenye hili .hakuna anayebisha kuwa jamaa miongoni mwa wana CCM alikuwa nafuu kwenye wizi!
Ila hakufaa kuwa Kiongozi wa juu...he was very poor,poor indeed,in managerial and Leadership Skills!
Unabishana na mm au Lissu aliyesema ktk video anaenda kutubu na kuomba msamaha chato?

Au bundle ni Tatizo!!
 
Karata ya Magufuli itawafikisha Mbali. Mslogwe kumtukana
 
Huyu si alikuwa anabeza watu kuaga mwili
Akasema marehemu anazungushwa sana nk ujinga.

Hakujua kama kutakuwa Kuna kumkumbula,na hataonekana tena kwenye sura ya Dunia.

Sasa naye ameshamkumbuka kama sisi tu team Dikteta.
 
We lafa kweli akatubu ,umemuelewa anasema ...kwenye hili .hakuna anayebisha kuwa jamaa miongoni mwa wana CCM alikuwa nafuu kwenye wizi!
Ila hakufaa kuwa Kiongozi wa juu...he was very poor,poor indeed,in managerial and Leadership Skills!
Alisikika bwabwa Moja akisema
 
Wewe akili ndogo ....soma Nje ya box
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…