kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Hakuna adui wa siasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok, hujanisoma vizuri.Huu ujinga wenu wa kulazimisha kuingiza wamarekani kwenye hii issue, ili kuwafichia madhambi waarabu muwapendao hauna maana.
Hata kama hamuwapendi wamatekani kwa mambo mengine, msiwasingizie yasiyowahusu, haiwezekani mama yenu aende mwenyewe Dubai kutongozwa huko akatoa bandari zetu, kisha muwasingizie wamarekani.
Tulimpinga Magufuli kwa baadhi ya mambo, hasa zaidi kwa masuala ya demokrasia. LAKINI kwenye kuuza rasilimali za nchi, hakuna hata mtu mmoja anayeweza kuuleta ushahidi wa hilo.Lissu ameanza kumkumbuka Magufuli kwa mazuri; ha ha ha[emoji1787]
Kutukana mbona hata kinana na Nape walimtukana?Pumbavu kabisa huyu. Yeye si ndiye alikuwa anamtukana na kumuita kila aina ya maneno. Sasa ameona hana tija wala kukubalika kwenye jamii anajitafutizia kiki kupitia JPM.
Kwa kweliSiasa ni maslahi tu...
Jadili maada,Huyo chiba amekuwa mpuuzi wa kupindukia.
Mwehu ni wewe na wazazi wako.Mwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.
Unaweza onyesja alipo sema Magu ni mwizi? Na kwana anapinga hajamtukana? Anacho sema.Magu hakuwa mwiziYameze tu MATUSI uliyomtukana Magu,
Badili gea angani kama nyumbu wa Serengeti, hamna namna!!!
Hivi nyie wajinga mnamuelewa Lisu? Nchi in vilaza sana hii, Lisu point yake iko kwenye wizi tu kwenye mambo mengine hajabadili msimamo wake.Duuuuuuu magufuli aiseee anyway Wacha akatubu tu
We kilaza sijui unamuelewa lisu? Point yake iko kwenye kugawa bure mali za nchi basi, kuna seheme Lisu aliwahi tamka Magu ni mwizi? Point yake iko hapoLissu amegundua, Ili njia yake iwe nyeupe kuelekea kunako,
Anamhitaji Magu amsafishie njia.
Atafanikiwa, kuliko kuungana na kundi la mgaso!!!
Tusubiri.
Matumaini yapi?Ni kauli ya mwisho ya kupoteza matumaini. No hope.
Mkuu nchi ina vilaza mavi wengi sana, hawaelewi,Rubbish, Lisu siyo kuwa anamuunga mkono magufuli, NO, A BIG NO! Ila anasema hakuiba na kama aliiba siyo kiwango cha kuuza bandari zetu. lakini he was instrumental katika kumpiga Risasi Lisu!
Hao ni wapumbavu, wanashangailia wenzao wana kulamatumaini yapi yaliyopotea? Kumbe na wewe ni wale wale
Ha ha ha unafiki haunaga aibu.Tulimpinga Magufuli kwa baadhi ya mambo, hasa zaidi kwa masuala ya demokrasia. LAKINI kwenye kuuza rasilimali za nchi, hakuna hata mtu mmoja anayeweza kuuleta ushahidi wa hilo.
Kuhusu Magufuli kuipenda nchi yake, hakuna mashaka kabisa katika hilo. Na alipenda, kama ingekuwa inawezekana, nchi yetu iwe juu ya nchi yoyote, na alipenda sana kila kitu tufanye wenyewe.
Mapenzi yake makubwa ya maendeleo na kwa nchi, ndiyo ambayo wakati fulani yalimfanya asizingatie sheria, haki za watu au hata demokrasia.
Lakini, kuna wakati ili umwone mtu fulani ni mzuri wa jambo fulani, ni lazima apatikane mbaya katika jambo hilo.
Maada gani?Jadili maada,
Wewe n ni kilaza sana. Lisu point yake iko kwenye kugawa Mali za Umma kama njugu, Wajinga mnasapoti Warau utazania kuna kitu mtapata, wenzako Account zisha somaUnabishana na mm au Lissu aliyesema ktk video anaenda kutubu na kuomba msamaha chato?
Au bundle ni Tatizo!!