Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

Nimeangalia tena ile kesi ya Canada. Ilitolewa taarifa tuu kuwa imeachiwa bila maelezo ya kuwa imeachiwa vipi. Ingekuwa kesi ilikuwa dismissed tungeambiwa tena kwa sauti kubwa. Inaelekea palikuwa na settlement ikiambatana na makubaliano ya pande zote kutozungumzia suala hilo in public.

Amandla....
Picha sawa na la yule mkulima baada ya kupiga tanch mwewe wetu
 
Utakuwa mjinga kuteswa eti ukiogopa kushitakiwa, ni bora ushitakiwe uwe huru kuliko kuheshim mikataba ya kinyonyaji.
Kumbuka kama una akiri timamu, huyohuyo Lisu aliwahi kusema huko nyuma,
Kama watapata uraisi wa nchi hii watavunja mikataba yote ya madini kwa kuwa ni ya kinyonyaji.
Kwa hiyo unadhani wangevunja kwa kutumia makalio?
Tumieni akiri na mropokaji wenu huyo anaye waona kama nyumbu msio jitambua kwenye mto wenye mamba.
Na ataendelea kuwatumia kama toilet paper tu.
Sina uhakika na vijana wa chadema kama wanatumia akiri au wenye elimu wanaitumia kwa maslahi ya nchi au hata uelewa kwa ujumla.
Pengine ni upumbavu na urofa au ni mahaba uasio na akiri.

Kwenye ishu nya madini nimemsikia Tundu akisema et raisi alisema walisema tutasitakiwa mbona hatujashitakiwa, baada ya hapo kuna watu alishabikia sana.

Siwezi kujuwa kama hao wote hawakuisikia kauli ya magufuri siku anapitishwa na chama chake kuwa mgombea. Tundu amekuwa anafanya tafasili ya maneno ya Raisi na kuyageuza anavyoona yanampa kiki. Raisi alisema hivi nanukuu.

Kwenye swara la madini. Wapo watu walisema hadhalani kuwa tutashitakiwa, tutanyooshwa, Nilisimama pamoja na wana Ccm wenzangu, nikasema ni bora kufa lakini umeifia nchi yako.

Mwisho wa kunukuu.
Sasa wewe na tundu lisu leteni sehemu aliyosema Magufuli kuwa walisema tutshitakiwa mbina hatujashitakiwa?

Hapo mdo mtajuwa wale mnaomshabikia tundu kawafanya mapunda na manyumbu msio jitambuwa pamoja na vielimu vyenu kisha mnashangilia.

Nani muongo kama sio.yeye?
Kwa akili yako ukitukana wana cdm ndiyo mgombea wenu atachaguliwa?
Kwa taarifa yako safari hii watanzania wamesha amua kuwa ccm kwao ni adui yao.

Mjiandae kisaikolojia maana baada ya uchaguzi wa October mh Lissu anaapishwa kuwa rais wa awamu ya 6.
photo%20266%2012-18-0.jpg
 
..he is not a violent person.

..pamoja na "jazba" zake umewahi kusikia amemdhuru mtu yeyote?

..ni mtu anayependa haki kwa wote, siyo kwake peke yake.

..pia ana msaada kwa wengine, kwa maana akisikia mtu anaonewa hawezi kukaa kimya.

..lakini la mwisho, hata akifanikiwa itakuwa ni kwa ushindi mwembamba, hiyo itakuwa ni BIMA/INSURANCE kwetu kwamba hatakuwa Raisi mwenye absolute powers.

I know you wish well for this country. Ila kumpa TL madaraka ya juu itakuwa ni kamari isiyolipa. Mrema hakukosa bure ya madaraka. Hata Russia, Yetsin hakumpa Putin madaraka sababu alimpenda sana. Kuna mambo hayana majaribio. TL kwa munkari alionao hafai kuwa the top most person in the country, that is my opinion
 
UJUMBE WA NAPE NNAUYE; _ Kwenye siasa ukiona unapiga kelele hujibiwi fikiri mara mbili! Ni sawa na draft ukiona unaruhusiwa kula tu, kinachofuata inaweza kuwa majanga
Nape mwenyewe alisha onjeshwa shubiri na wasiyo julikana alafu leo ana unya unya tu
 
Kwa akili yako ukitukana wana cdm ndiyo mgombea wenu atachaguliwa?
Kwa taarifa yako safari hii watanzania wamesha amua kuwa ccm kwao ni adui yao.

Mjiandae kisaikolojia maana baada ya uchaguzi wa October mh Lissu anaapishwa kuwa rais wa awamu ya 6.View attachment 1535154
Umechoka kweli
 
mkuu tunaambiwa vimejengwa viwanda zaidi ya 4000, ushawahi viona? vinafanya kazi gani? vimeajiri vijana wangapi? vimejengwa wapi?
Kwa mujibu wa waziri wa biashara na viwanda Mwijage alisema ukiwa na vyerahani 3 basi wewe ni mwekezaji wa kiwanda
 
Kwa hiyo anafurahi kushtakiwa kwa nchi yake?na amejuaje kama hahusiki?dah!!
Kasema wapi anafurahi?? Sometimes tuwe tuna angalia kinachosemwa na faida au madhara yake... sio tu kum-implicate mtu kwa sababu humpendi... Na hapo nimeku implicate mimi bila wewe kusema haumpendi, kwa hiyo, sema haraka sana kwamba UNAMPENDA...
 
I know you wish well for this country. Ila kumpa TL madaraka ya juu itakuwa ni kamari isiyolipa. Mrema hakukosa bure ya madaraka. Hata Russia, Yetsin hakumpa Putin madaraka sababu alimpenda sana. Kuna mambo hayana majaribio. TL kwa munkari alionao hafai kuwa the top most person in the country, that is my opinion

..nayaheshimu maoni yako.

..kwa kiasi kikubwa TL is misunderstood.

..tabia yake ya kutokuwa muoga dhidi ya watawala wakatili inachukuliwa kama munkari na jazba.

..wanaomfahamu TL kwa kufanya naye kazi, au nje ya majukwaa ya kisiasa, wanasema ni mtu very selfless na mwenye msaada kwa wenye shida.

..hujamsikia TL akisema hatalipiza kisasi? hujamsikia akisema yeye hastahili huruma kuliko familia za Ben Saanane, Alphonce Mawazo, etc?

..kwa kweli tunahitaji kiongozi wa aina ya TL kwasababu sasa hivi UNYAMA/UDHALIMU umeshika kasi, na unaelekea kuhalalishwa ktk siasa za nchi yetu.
 
Kesi gani ambayo ipo sasa?

..hakuna kesi kwasababu serikali ilisalimu amri kwa barrick.

..serikali ilisema acacia/barrick wanadaiwa usd 191 billion.

..acacia akafungua kesi kupinga madai hayo.

..serikali ikaanza majadiliano na barrick ambao ni majority shareholders wa acacia.

..serikali ikakubali kuachana na madai yake na kukubali kulipwa "kishika uchumba" cha usd 300 million.

..sasa usd 191 billion vs 300 million, ni sawa na kudai usd 636 halafu ulipwe usd 1.

..hakuna BEBERU linaweza kukataa offer ya namna hiyo ikizingatiwa limeishakunyonya vya kutosha.

cc tindo, Nguruvi3, jmushi1
 
..hakuna kesi kwasababu serikali ilisalimu amri kwa barrick.

..serikali ilisema acacia/barrick wanadaiwa usd 191 billion.

..acacia akafungua kesi kupinga madai hayo.

..serikali ikaanza majadiliano na barrick ambao ni majority shareholders wa acacia.

..serikali ikakubali kuachana na madai yake na kukubali kulipwa "kishika uchumba" cha usd 300 million.

..sasa usd 191 billion vs 300 million, ni sawa na kudai usd 636 halafu ulipwe usd 1.

..hakuna BEBERU linaweza kukataa offer ya namna hiyo ikizingatiwa limeishakunyonya vya kutosha.

cc tindo, Nguruvi3, jmushi1

Anyway, I think some people wanted Barrick to drag the government to the court of arbitration. It has never happened, the story is being twisted
 
..hakuna kesi kwasababu serikali ilisalimu amri kwa barrick.

..serikali ilisema acacia/barrick wanadaiwa usd 191 billion.

..acacia akafungua kesi kupinga madai hayo.

..serikali ikaanza majadiliano na barrick ambao ni majority shareholders wa acacia.

..serikali ikakubali kuachana na madai yake na kukubali kulipwa "kishika uchumba" cha usd 300 million.

..sasa usd 191 billion vs 300 million, ni sawa na kudai usd 636 halafu ulipwe usd 1.

..hakuna BEBERU linaweza kukataa offer ya namna hiyo ikizingatiwa limeishakunyonya vya kutosha.

cc tindo, Nguruvi3, jmushi1
Very well put kiongozi! Short yet clear!👍🏽👏🏽🙌🏾
 
Hv kwa nini mnatujumuisha watanzania wote as if tulikaa kikao tukakubaliana? Semea nafsi yako usitusemee hatujakutuma
Narudia kusema kuwa Lissu ni chaguo la watanzania woote.
Kama wewe siyo mtanzania sawa.
 
Anyway, I think some people wanted Barrick to drag the government to the court of arbitration. It has never happened, the story is being twisted

Unapelekwa mahakamani kama mtu kapoteza, sasa hayo makampuni yaende mahakamani kwani wamepoteza nini? Maana kama ni madini bado wanachimba na faida wanapata. Kwenda mahakamani ili kudai nini?
 
Back
Top Bottom