Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa.

"Si walisema hatutashtakiwa? Oooh Lissu alisema tutashtakiwa...mbona sasa hatujashtakiwa? Niwaambieni, kwa mwaka huu pekee makampuni matatu yametushtaki kwenye mahakama za kimataifa" Amesema Lissu bila kubainisha haya makampuni.

My take: Kutokana na Rais kubana uhuru wa upatikanaji habari na kutokana na mambo ya ajabu tunayoelezwa na serikali huku mengine yakiwa waziwazi ya uongo, naamini alichosema Lissu.
Raja hayo makampuni spewed majibu. Au kaa kimya tafuta hoja nyingine
 
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa.

"Si walisema hatutashtakiwa? Oooh Lissu alisema tutashtakiwa...mbona sasa hatujashtakiwa? Niwaambieni, kwa mwaka huu pekee makampuni matatu yametushtaki kwenye mahakama za kimataifa" Amesema Lissu bila kubainisha haya makampuni.

My take:
Kutokana na Rais kubana uhuru wa upatikanaji habari na kutokana na mambo ya ajabu tunayoelezwa na serikali huku mengine yakiwa waziwazi ya uongo, naamini alichosema Lissu.
Umasikini, Mardhi na Ujinga bado vinatuandama kwa kasi ya ajabu.
 
Hizo ni kesi zilizochochewa na Lisu mwenyewe na Zito alafu anakuja kudai natishiwa kuuwawa.
Kauli hizi zinatolewa na wanao tudhibitishia kuwa wamebobea kwa ujinga.
Kwani Lissu na Zitto ni wamiliki wa hizo kampuni? Au viongozi wao?
 
Nadhani mjadala wa kushitakiana ilikuwa specific kwenye issue ya accasia na hata hivyo kushitakiwa hakuepukiki kwa Hali Kama hiyo ukizingatia kwamba tumewanyang'anya tonge.
 
Nani kakwambia Tundu Lissu anafurahia kuona Tanzania inanyanyasika??? Tundu siku zote alishauri the best approach Ila nyie mkamdharau na maneno ya kebehi . Leo yamewakuta mnamsingizia Lissu tena??? Dunia ya ubabe iliashapitaga huko. Saivi ni akili

Kitu anachosahau ni kuwa sio kiongozi wa kuchaguliwa popote pale. Anafurahia sana anaposikia Tanzania ina kesi fulani. Yeye ananeemeka na hizo kesi?
 
Kusema kwamba anafurahia ni kumuonea.

Anachofanya TL ni kuwafichua wale waliosababisha nchi ikanyanyasika na kushtakiwa ktk mahakama za kimataifa.

Anayestahili lawama hapa ni watawala ambao walipitisha miswaada bungeni na kusaini mikataba inayotuumiza.

JokaKuu, do you think TL can make a good president? Ile jazba yake inaogopesha sana
 
Aliwashauri serikali jinsi ya kuepukana na hizo kesi wao wakamwita msaliti, sidhani kama huko ndiyo kupenda nchi yako inyanyasike. Sasa kama haitoshi serikali inaleta sheria za ajabu na kulazimisha hata yale ambayo ni kinyume na katiba na hapo ndipo msaada wa nje husaidia kwani ni hao hao mabeberu ambao serikali huwasikiliza na sio wananchi wao wenyewe.

Kama serikali haisikii kusemwa au kushtakiwa nje ni haki. Serikali ikijirekebisha yeye na wananchi wenzake pamoja na wewe ndio wanufaika.

Kesi gani? Take Acacia?
 
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa.

"Si walisema hatutashtakiwa? Oooh Lissu alisema tutashtakiwa...mbona sasa hatujashtakiwa? Niwaambieni, kwa mwaka huu pekee makampuni matatu yametushtaki kwenye mahakama za kimataifa" Amesema Lissu bila kubainisha haya makampuni.

My take: Kutokana na Rais kubana uhuru wa upatikanaji habari na kutokana na mambo ya ajabu tunayoelezwa na serikali huku mengine yakiwa waziwazi ya uongo, naamini alichosema Lissu.
Domo kaya huyo hana jipya, mzushi na asiye na hoja. Watanzania wanataka kusikia namna ya kuboresha maisha yao, Serikali imefanya vema haoni cha kupotosha anaongelea vitu ambavyo hata hao wasikilizaji hawamwelewi
 
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa.

"Si walisema hatutashtakiwa? Oooh Lissu alisema tutashtakiwa...mbona sasa hatujashtakiwa? Niwaambieni, kwa mwaka huu pekee makampuni matatu yametushtaki kwenye mahakama za kimataifa" Amesema Lissu bila kubainisha haya makampuni.

My take: Kutokana na Rais kubana uhuru wa upatikanaji habari na kutokana na mambo ya ajabu tunayoelezwa na serikali huku mengine yakiwa waziwazi ya uongo, naamini alichosema Lissu.

Ndio maana hawataki content ya vyombo vya habari vya nje iingie nchini!
 
JokaKuu, do you think TL can make a good president? Ile jazba yake inaogopesha sana

..he is not a violent person.

..pamoja na "jazba" zake umewahi kusikia amemdhuru mtu yeyote?

..ni mtu anayependa haki kwa wote, siyo kwake peke yake.

..pia ana msaada kwa wengine, kwa maana akisikia mtu anaonewa hawezi kukaa kimya.

..lakini la mwisho, hata akifanikiwa itakuwa ni kwa ushindi mwembamba, hiyo itakuwa ni BIMA/INSURANCE kwetu kwamba hatakuwa Raisi mwenye absolute powers.
 
Yeye alisema acacia walikuwa sahihi kufanya wanachokifanya na tulikuwa tunatafuta matatizo kuwazuia kusafirisha makinikia. sasa ikawaje acacia wakakubali kutoa hizo usd 300m?

..alichosema siyo sahihi ni zile ripoti.

..kwamba ripoti zile zisingeweza kusimama ktk mahakama yoyote ile.

..kuna tofauti kubwa sana kati ya madai ya usd 191 billion na malipo ya usd 300 million.

..ni sawasawa na umdai mtu usd 636 halafu yeye akubali kulipa usd 1.

..barrick waliona wanapata hasara kutokana na mgogoro ule na ndiyo maana wakaamua kutulaghai na usd 300 million.

..hata hivyo bado hawajamaliza kulipa zote ingawa waliahidi toka mwaka 2017.
 
Jiwe alifikiri kuficha inasaidia ?Huo ndio mwanzo siri zote zinaenda kutoka ,aliminya vyombo vya habari na kutunga sheria kandamizi ili kuficha haya ,sasa mficha maradhi ugonjwa humuumbua.
 
Kushitakiwa hizo ni sifa za ziada maana mh Lissu ndiye chaguo la watanzania woote kwa sasa.
Hv kwa nini mnatujumuisha watanzania wote as if tulikaa kikao tukakubaliana? Semea nafsi yako usitusemee hatujakutuma
 
Utakuwa mjinga kuteswa eti ukiogopa kushitakiwa, ni bora ushitakiwe uwe huru kuliko kuheshim mikataba ya kinyonyaji. Kumbuka kama una akiri timamu, huyohuyo Lisu aliwahi kusema huko nyuma.

Kama watapata uraisi wa nchi hii watavunja mikataba yote ya madini kwa kuwa ni ya kinyonyaji. Kwa hiyo unadhani wangevunja kwa kutumia makalio?

Tumieni akiri na mropokaji wenu huyo anaye waona kama nyumbu msio jitambua kwenye mto wenye mamba. Na ataendelea kuwatumia kama toilet paper tu.
Hiyo mikataba ya kinyonyaji ilipitishwa na serikali ya chama cha upinzani?

Mlitumia wingi wenu bungeni kupitisha miswaada ya hovyo huku mkipiga mayowe na vigeregere.

Leo hii mnajifanya eti mikataba ya kinyonyaji! Subirini iingie serikali nyingine ndiyo mtajua kuwa maharage ni mboga au kitafunwa
 
Back
Top Bottom