Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

Picha sawa na la yule mkulima baada ya kupiga tanch mwewe wetu
 
Kwa akili yako ukitukana wana cdm ndiyo mgombea wenu atachaguliwa?
Kwa taarifa yako safari hii watanzania wamesha amua kuwa ccm kwao ni adui yao.

Mjiandae kisaikolojia maana baada ya uchaguzi wa October mh Lissu anaapishwa kuwa rais wa awamu ya 6.
 

I know you wish well for this country. Ila kumpa TL madaraka ya juu itakuwa ni kamari isiyolipa. Mrema hakukosa bure ya madaraka. Hata Russia, Yetsin hakumpa Putin madaraka sababu alimpenda sana. Kuna mambo hayana majaribio. TL kwa munkari alionao hafai kuwa the top most person in the country, that is my opinion
 
UJUMBE WA NAPE NNAUYE; _ Kwenye siasa ukiona unapiga kelele hujibiwi fikiri mara mbili! Ni sawa na draft ukiona unaruhusiwa kula tu, kinachofuata inaweza kuwa majanga
Nape mwenyewe alisha onjeshwa shubiri na wasiyo julikana alafu leo ana unya unya tu
 
Umechoka kweli
 
mkuu tunaambiwa vimejengwa viwanda zaidi ya 4000, ushawahi viona? vinafanya kazi gani? vimeajiri vijana wangapi? vimejengwa wapi?
Kwa mujibu wa waziri wa biashara na viwanda Mwijage alisema ukiwa na vyerahani 3 basi wewe ni mwekezaji wa kiwanda
 
Kwa hiyo anafurahi kushtakiwa kwa nchi yake?na amejuaje kama hahusiki?dah!!
Kasema wapi anafurahi?? Sometimes tuwe tuna angalia kinachosemwa na faida au madhara yake... sio tu kum-implicate mtu kwa sababu humpendi... Na hapo nimeku implicate mimi bila wewe kusema haumpendi, kwa hiyo, sema haraka sana kwamba UNAMPENDA...
 

..nayaheshimu maoni yako.

..kwa kiasi kikubwa TL is misunderstood.

..tabia yake ya kutokuwa muoga dhidi ya watawala wakatili inachukuliwa kama munkari na jazba.

..wanaomfahamu TL kwa kufanya naye kazi, au nje ya majukwaa ya kisiasa, wanasema ni mtu very selfless na mwenye msaada kwa wenye shida.

..hujamsikia TL akisema hatalipiza kisasi? hujamsikia akisema yeye hastahili huruma kuliko familia za Ben Saanane, Alphonce Mawazo, etc?

..kwa kweli tunahitaji kiongozi wa aina ya TL kwasababu sasa hivi UNYAMA/UDHALIMU umeshika kasi, na unaelekea kuhalalishwa ktk siasa za nchi yetu.
 
Kesi gani ambayo ipo sasa?

..hakuna kesi kwasababu serikali ilisalimu amri kwa barrick.

..serikali ilisema acacia/barrick wanadaiwa usd 191 billion.

..acacia akafungua kesi kupinga madai hayo.

..serikali ikaanza majadiliano na barrick ambao ni majority shareholders wa acacia.

..serikali ikakubali kuachana na madai yake na kukubali kulipwa "kishika uchumba" cha usd 300 million.

..sasa usd 191 billion vs 300 million, ni sawa na kudai usd 636 halafu ulipwe usd 1.

..hakuna BEBERU linaweza kukataa offer ya namna hiyo ikizingatiwa limeishakunyonya vya kutosha.

cc tindo, Nguruvi3, jmushi1
 

Anyway, I think some people wanted Barrick to drag the government to the court of arbitration. It has never happened, the story is being twisted
 
Very well put kiongozi! Short yet clear!πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ™ŒπŸΎ
 
Hv kwa nini mnatujumuisha watanzania wote as if tulikaa kikao tukakubaliana? Semea nafsi yako usitusemee hatujakutuma
Narudia kusema kuwa Lissu ni chaguo la watanzania woote.
Kama wewe siyo mtanzania sawa.
 
Anyway, I think some people wanted Barrick to drag the government to the court of arbitration. It has never happened, the story is being twisted

Unapelekwa mahakamani kama mtu kapoteza, sasa hayo makampuni yaende mahakamani kwani wamepoteza nini? Maana kama ni madini bado wanachimba na faida wanapata. Kwenda mahakamani ili kudai nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…