Wananchi wanatuchangia hela ya mafuta kwa maelfu yao. Hatuwabebi kwa mafuso.Ulitaka wasiwatumie wasanii ? Ninyi hamna pesa msitake kujilinganisha na CCM , af kwa mlivyo wajinga mnafikir hata bila wasanii watu hawawezi kujaa ? Acheni kufarijiana!
Kumbuka mpo kwa miaka inakaribia 60 Sasa bla bla tuu hamna chochote cha maanaUlitaka wasiwatumie wasanii ? Ninyi hamna pesa msitake kujilinganisha na CCM , af kwa mlivyo wajinga mnafikir hata bila wasanii watu hawawezi kujaa ? Acheni kufarijiana!
Wachangaji rambirambi walichangia kujengea reli au kuwafidia wananchi husika? uliambiwa zilikuwa ni hela za kiongozi au wananchi?Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Watanzania tulichangia michango mbali mbali ili kuwasaidia wenzetu (wahanga wa tetemeko) na sio kujenga miundombinu. Kurekebisha na kujenga miundombinu ni jukumu la serikali.Zilichangwa pesa za maafa ambazo kazi zake ni kuhakikisha kuwa mindombinu inakuwa imara na thabiti kwa ajili ya kuwalinda na kuimarisha eneo husika lilioathirika.
Zilichangwa pesa za maafa ambazo kazi zake ni kuhakikisha kuwa mindombinu inakuwa imara na thabiti kwa ajili ya kuwalinda na kuimarisha eneo husika lilioathirika.
Wamesha poteana,Kila mmoja Ana uelekeo wake sasa,bado kidogo hataa washindwe kuwasiliana kwa lugha.Kama kweli watu wameamua kukesha kwa sababu ya Lissu ni hatari. Jamani nataka niwaambie ukweli, J P M hajui uhalisia huu. Anadanganyika na watu wanaoenda kuwatazama wasanii, hawa wasanii wanapofanya mambo yao, huwa ni aghali sana, leo wanafanya mambo yao bure kwa nini watu wasikimbilie? Nyinyi ccm haki ya Mungu msipoliangalia vizuri hili tarehe 28 octoba mnaenda kufa, nyie endeleeni kujifariji, uchaguzi huu upo tofauti na tulivyozoea.
Yanapotokea maafa huwa hakuna utaratibu wa kujenga nyumba za watu binafsi, inaanza kuboreshwa miundombinu kwanza itakayoweza kuisaidia jamii kupata ahueni katika kuimarisha maendeleo hayo.
Zilichangwa pesa za maafa ambazo kazi zake ni kuhakikisha kuwa mindombinu inakuwa imara na thabiti kwa ajili ya kuwalinda na kuimarisha eneo husika lilioathirika.
Kiufupi ziara za mapumziko Dodoma hazitoisha-Lissu anagonga vilivyo
Lisu angewagawia mkononi halafu huduma za jamii baadae. Kenge wa kiwango cha lami.Alwatan kafikiria...Hela za maafa zinapitia kwenye mfuko maalum wa maafa na lengo lake ni kusaidia katika Huduma za kijamii za muhimu hivyo hata Hela zilizotolewa zilitumika kurekebisha miundombinu ya Huduma za kijamii zilizokua zimeharibika kama Hospital, Mashule na Mengineyo.
Niliskia hili.
Au kuna namna zilifanyiwa nini?
Kwanini?Magufuli aondolewe kwenye uchaguzi huu
Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Unaposema alikula ina maana alifanyia mambo binafsi. Kama alitumia kurekebisha miundombinu na huduma za jamii, utasemaje alikula?Kwahiyo anataka rais anaekula rambaramba au..??
Amemaanisha ukubwa wa akili na uwezo wa kujenga hoja.Kama una maanisha utoto kwa Umri Kati ya Lissu na Magufuli uko sahihi!
Lakini kama ni swala la kujenga NGUVU YA HOJA, nakuhakikishia. Magufuli si lolote mbele ya Lissu!
Tindulissu aache mambo yake kabisa.https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4
Hii tabia ya uropokaji wa Rais Magufuli kwa Sasa una mgharimu vibaya Sana!!!!
Matumain mfu....we subiri hujui anayopitia jiweAisee!
Bado sana, Lisu ni mtoto mdogo sana mbele ya CCM na Magufuli