Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anayekula rambirambi hatufai

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anayekula rambirambi hatufai

N
1.rudisha kumbukumbu zako vizuri, pesa zilienda kuboresha majengo ya msingi na sio reli.
2.Watu kupoteza maisha ni jambo la kawaida kwenye maafa, na taratiu mbalimbali zilifuatwa kupewa heshima za mwisho.
3.Nyumba zilizovunjika zilikuwepo na watu walipewa vifaa mbalimbali kuweka sawa nyumba zao, hadi ikafikia wakati wengine wakaanza kubomoa nyumba zao ambazo hazikuharibiwa na janga la tetemeko.
3.kwanza fahamu maana halisi ya fidia, majanga ya asili huwa hayana fidia, halafu pili waathirika halali walipata fungu lililotokana na michango ya maafa ili kujiimarisha. Ila wadanganyifu wote hawakupata fungu hilo.
Nimefuatilia comments zako zimejaa ujinga mwingi sana.
 
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu amewaambia wana-Kagera wazi kuwa RAIS anayekula Rambirambi hafai kuwa Rais.

Mhe. Lissu alikuwa akiwakumbusha Wana Kagera alichowafanyia Rais Magufuli baada ya janga la tetemeko la Ardhi alipobadili matumizi ya Fedha za Rambirambi kusipeleka kujenga reli na mabarabara akisema ati," SERIKALI YAKE YA CCM HAIKULETA TETEMEKO LA ARDHI".
View attachment 1580936

https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4

Hii tabia ya uropokaji wa Rais Magufuli kwa Sasa una mgharimu vibaya Sana!
Maisha bila busara ni hasara.
 
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu amewaambia wana-Kagera wazi kuwa RAIS anayekula Rambirambi hafai kuwa Rais.

Mhe. Lissu alikuwa akiwakumbusha Wana Kagera alichowafanyia Rais Magufuli baada ya janga la tetemeko la Ardhi alipobadili matumizi ya Fedha za Rambirambi kusipeleka kujenga reli na mabarabara akisema ati," SERIKALI YAKE YA CCM HAIKULETA TETEMEKO LA ARDHI".
View attachment 1580936

https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4

Hii tabia ya uropokaji wa Rais Magufuli kwa Sasa una mgharimu vibaya Sana!

Unamgharimu sana kwa sababu aliamini kufikia uchaguzi hii 2020 upinzani utakuwa haupo lakini Sasa Mambo yamekuwa mambo
 
"TL amemtukana Rais", alisikika mwendawazimu mmoja hivi akizungumza.
 
Ukila sana vitu vinavyonuka lazima unuke.
 
Shabiki wa Lisu kawaona mazuzu kwl nyie
Yaaan ulitegemea rambi rambi zigawiwe kwa kila raia?
Hii itakuwa serikali kwl makn?
Miundo mbinu iloharibiwa ingetenenezwa kwa fedha zipi? Ili hali tetemeko ni janga la asili? Na nchi yeyote panapotokea mambo kama hayo huomba msaada kurudishia miundombinu ili kuwawezesha waathrika kupata huduma?
Serikali ingechota hazina fedha mngehoji pia kuwa BUNGE halikushirikishwa? Shame on you?
Lisu na Kutokujua afanyalo anawapigisha gwaride na kumuona et anajua sana kuliko watz wote 😂😂😂😂

Lisu ataiskiaa tu Ikulu kama wengineo
 
Naona ccm wanajiriwadha kwa kusema kwamba huo umati hawana kadi. Hahahahaha .halafu naona kama Huyo mdada ameshapita
 
Yanapotokea maafa huwa hakuna utaratibu wa kujenga nyumba za watu binafsi, inaanza kuboreshwa miundombinu kwanza itakayoweza kuisaidia jamii kupata ahueni katika kuimarisha maendeleo hayo.
Mbona povu,? Wakati miaka ya nyuma tulikuwa tu naona watu wanapewa bati ,vifaa vya ujenzi kuezeka nyumba zao zilizopata maafa. Magufuri tu anapepo la kuumiza watu, na ndio furaha yake anapo ona una umia au unafedheheka. Mara ngapi anawafedhehesha wateule wake kwa kuwaita wajinga, wapumbavu
 
Kama kweli watu wameamua kukesha kwa sababu ya Lissu ni hatari. Jamani nataka niwaambie ukweli, J P M hajui uhalisia huu. Anadanganyika na watu wanaoenda kuwatazama wasanii, hawa wasanii wanapofanya mambo yao, huwa ni aghali sana, leo wanafanya mambo yao bure kwa nini watu wasikimbilie? Nyinyi CCM haki ya Mungu msipoliangalia vizuri hili tarehe 28 Octoba mnaenda kufa, nyie endeleeni kujifariji, uchaguzi huu upo tofauti na tulivyozoea.

Na wewe una danganyika na mikutano ya TL maana sio note wanao kwenda kwenye majukwaa ya campaign wanejiandikisha na kupiga kura...mind you CCM inamtaji wa wanachama hai Tanzania nzima zaidi ya 15. M na wapiga kura waliojiandikisha ni 29 M na si kwamba wote hao watapiga kura na Mtaji wa CCM uko vijijini kwa Akina mama ambao sehemu kubwa katika hii miaka 5 amewatimizia agenda zao za maji hospital elimu bure ....campaign is all about strategy and not mafuriko kwenye campaign
 
Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Uliona wapi rais anaiba rambirambi?
 
C53DEB4C-23C7-491D-AC03-A5D11FDD7CD2.jpeg

Kutoka kwenye Push Up mpaka kwenye kupiga magoti😎 Lisu ni kiboko✌️
 
SADIST ni mtu ambaye hupata hisia za raha au ku enjoy kwa kusababisha au kuona wengine wakipata maumivu .
 
Tuthibitishie hapa ameibaje hizo rambirambi na tuonyeshe ushahidi wa hicho unachokisema. Maana mmezoea kuwalisha matango pori watanzania kama kaka yenu Kigogo. Watanzania wamewashtukia sasa hivi na watamchagua Magufuli
yeye mwenyewe alikiri kuingiza kwenye miradi mengine ambayo haijaidhinishwa kisheria ,hiyo ndo kula rambi rambi hana tofauti na steve nyerere ,halafu sijui hawa comedian wanapenda sana kula rambirambi
 
Back
Top Bottom