Msije mkaomba poo lakiniYani ni jino kwa jino, mguu kwa mguu.
Acheni kuhangaika, hivyo vigezo mnavyojidai navyo mtavitolea mbinguni au wapi?NEC wako tayari kutoa fomu kwa MTU asiye na vigezo?;
Mkuu nilikuwa nazungumzia ile hamasa kutoka kwenye ile sauti! Nina hamu ningemuona huyo binti. Yani imesound kienyejii 😂😘😍NEC wako tayari kutoa fomu kwa MTU asiye na vigezo?;
Umeona eh! Nchi sasa imechangamka!Naanza kuelewa kwa nini walimnyeshea mvua ya risasi.
Na hii miaka 5 wasingefungia mikutano ya hadhara kijani hali ingekuwa tete mnoo.
Unforgetable
Ili wakimpa usema ni wewe ulishauri?? Acha kujipa umuhimu usiostahili.NEC. hawatampatia fomu maana ana kesi za kujibu lakini pia ana zuio la maadili ya utumishi wa umma. Lakini ningeshauri wampe.
Hahaha nyimbo za stigla na esijiara zimekufa ghafla.Acheni kuhangaika, hivyo vigezo mnavyojidai navyo mtavitolea mbinguni au wapi?
Si mnajidanganya jamaa yenu anakubalika, sasa kama ndio hivyo mpelekeni uwanjani akashindane, sio mnaanza kutetemeka mapema hivi.
Wacha tunenepe na sisi msimu huuSafi Lisuuu.....
Walituonea sana.
CCM ndo mtaomba poo mwaka huu.Msije mkaomba poo lakini
Wataziimba wapi wakati watu wana machungu na ugumu wa uchumi. Saivi huko mikoani ni uhaba tu wa mafuta kutokana na ujinga wao CCMHahaha nyimbo za stigla na esijiara zimekufa ghafla.
Ikithibitika umewahi kufungwa au kukwepa kodi hata kama ulijaza Hujawahi wanakufanyaje?Unayoyasema umesimliwa au umeota? Hayo unayoyasema hayapo. Mgombea yeyote aliyepitishwa na chama ni lazima NEC impe form. Haina uwezo wala mamlaka ya kuzuia...
NEC. hawatampatia fomu maana ana kesi za kujibu lakini pia ana zuio la maadili ya utumishi wa umma. Lakini ningeshauri wampe.
Japo kila nafsi itaonja mauti,kuna nafsi zingine inabidi ziwahishwe kwa manufaa mapana ya taifa
Endeleeni tu na ujinga wenu. Tunakusanya ushahidi wote mwaka huu. Mawakili wa Amsterdam hawako mbali sana na mahakama ya ICC. Lolote mtakalofanya mwaka huu mjue tu mwisho wenu ni aibu tu .Japo kila nafsi itaonja mauti,kuna nafsi zingine inabidi ziwahishwe kwa manufaa mapana ya taifa
Kila mwaka wa uchaguzi na vimbwanga vyake.Huyu sasa atamuua Mzee baba kwa pressure