digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu acha kuweweseka,mwaka huu mnapenda kushitaki wapi? Uchaguzi wa mwaka 2015 mlikimbilia CCJ mwaka huu MNA mawakli wa Amsterdam, hivi ni vituko.Endeleeni tu na ujinga wenu. Tunakusanya ushahidi wote mwaka huu. Mawakili wa Amsterdam hawako mbali sana na mahakama ya ICC. Lolote mtakalofanya mwaka huu mjue tu mwisho wenu ni aibu tu .
Malizia posho zako za Lumumba. Watu wameandika barua kwa wakuu wenu wa vyombo kopi kwa katibu mkuu UN unasema wanafanya masikhara. Subirini muoneMkuu acha kuweweseka,mwaka huu mnapenda kushitaki wapi? Uchaguzi wa mwaka 2015 mlikimbilia CCJ mwaka huu MNA mawakli wa Amsterdam, hivi ni vituko
Kila Mara twawambieni huyu lissu hafai anawapotosheni ninyi hapana kuelewa
Lissu hafai anapaswa kupingwa na kila mtanzania mpenda amani naaendeleo
Mkuu hivi ni vituko,tangu mumshambulie mgombea wenu pale Dodoma naona kama akili zenu zimewaruka hivi,hamuishiwi ndoto,Mara Amsterdam Mara katibu mkuu UN, huyu katibu mkuu wa UN anaona ya Tanzania tu na ashindwe kuyaona ya Libya, Syria, Iraq nk.Malizia posho zako za Lumumba. Watu wameandika barua kwa wakuu wenu wa vyombo kopi kwa katibu mkuu UN unasema wanafanya masikhara. Subirini muone
Kwani alivyoshughulikiwa Lauren Ghabgo Ivory Coast hakukuwa na hayo ya Libya?Mkuu hivi ni vituko,tangu mumshambulie mgombea wenu pale Dodoma naona kama akili zenu zimewaruka hivi,hamuishiwi ndoto,Mara Amsterdam Mara katibu mkuu UN, huyu katibu mkuu wa UN anaona ya Tanzania tu na ashindwe kuyaona ya Libya, Syria, Iraq nk.
Ndo maana tunasema akili zenu zote ni za kuambiwa,jiongezeni basi,
Mkuu mimi nakuona kama mtu uliyepoteza matumaini unawaya ways,n a wala.hujui kipi usimamie,Mara ICc,Mara UN na.mwisho mawkili wa Amsterdam kipi ni kipi?Kwani alivyoshughulikiwa Lauren Ghabgo Ivory Coast hakukuwa na hayo ya Libya???
Labda tuanzie hapa unajua kiingereza?? Na jekama unajua ulisoma ile barua ya mawakili wa Amsterdam??? Kama ulisoma uliielewa???Mkuu mimi nakuona kama mtu uliyepoteza matumaini unawaya ways,n a wala.hujui kipi aNusimamie,Mara ICc,Mara UN na.mwisho mawkili wa Amsterdam kipi ni kipi?
Hawa jamaa hawaelewi kitu. Waache wajitekenye.Kwenye sifa za mgombea zimeainisha aina ya makosa yayomfanya apoteze sifa ya kugombea siyo makosa yote istoshe yeye ni mtuhumiwa tu katika hizo kesi zote sasa hawezi kunyimwa haki ya kugombea sababu ni mtuhumiwa tu.
Sasa kama mnamkubali unalia lia nini? Subiri 28 oct, muongezeeni mitano mingine msome namba vizuri.Mzee magu tunamkubali sana, yupo vema sana especially anavyopambana kuimarisha miradi ya maendeleo. Shida ni kwamba anabana sana hela kiasi kwamba watu tunaitafuta pesa kwa shida sana.
Sasa kwa kifupi ni kama maisha yetu awamu hii yalitolewa kafara. Kijana anakaa miaka mitano yote anatoka mtupu, hajaoa, hajaweza kumudu kupanga au kujenga makazi na kadhalika.
Hahahah Hatari sana alizoea kusikika mtu mmoja tu nchi nzima kwa miaka kadhaa iliyopita sasa hivi chuma kinakohoa bwn yule hasikiki tena wala hatusikii story za sgr.Japo kila nafsi itaonja mauti,kuna nafsi zingine inabidi ziwahishwe kwa manufaa mapana ya taifa
Hana lolote, anaonekana kachanganyikiwa tu. Hana sifa za kuwa Rais wa nchi hii ni kiongozi asiye na maadili kabisa sijui kasomea sheria ya wapi ambayo anashindwa kuitumia ili imsaidie kuheshimu taratibu na viongozi wa taifa letu.Mhe. Tundu Lissu mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA ameendelea kusisitiza kuwa hawezi kufungwa kwa kesi alizo nazo Mahakamani na kwamba haziwezi kumzuia kugombea Urais...
Je yeye siyo Mgombea?Umetoka usingizini ww wakati anatoa hiyo pesa alikua kama rais au mgombea