Chama chake wamemsokomeza akaongee pumba kwenye mkutano wa chama cha wenzao , ha ha kweli ccm baba lao.LOPOLOPO anaforce king ili atandikwe aanze kulia lia kwa mabeberu si mnaona mnaona wamenichapa tena.hizo strategy za chama chake maana ndio waliomvunja mguu...
Fomu inatolewa kwa Mtu yeyote, hata Wewe ukitaka utapewa, labda uulize akisharudisha fomu watampitisha kugombea?!NEC wako tayari kutoa fomu kwa MTU asiye na vigezo?;
hujwahi kusikia kuwa hata uoge vipi mjini huendi sasa ndo itakavyokuwa kwenye uchaguzi hata iweje ccm watashinda tu...nape yukowapi kwan sikuhizi mtaalamu wa bao la mkono..lamsingi tuwape muda hakuna marefu yasiyo na nchaNEC. hawatampatia fomu maana ana kesi za kujibu lakini pia ana zuio la maadili ya utumishi wa umma. Lakini ningeshauri wampe.
Naanza kuelewa kwa nini walimnyeshea mvua ya risasi.
Na hii miaka 5 wasingefungia mikutano ya hadhara kijani hali ingekuwa tete mnoo.
Unforgetable
Kwani kampeni zimeshaanza? Nyinyi kwenye vichwa vyenu ni zero brain! chochote anachosema Msaliti Lissu mnaingia kichwa kichwa tu.
Jibu hoja,unamtenganisha wakati gani? Anamjibu raia aliyeuliza kuhusu stand anaanza kuponda chaguo la wananchi la mbunge wao kwakuwa anatoka upinzani? Hata aliyemuuzia jogoo amevaa sare ya chama cha Magufuli.Kama huwezi tenganisha hayo, mkuu nakushauri achana na hii mada.
Haya Mabashite yanatukana badala ya kujibu hoja.Ndo maana yenye PHD yanalipwa laki tano hapo Lumumba.Lini tuliomba poo, mmefanya siasa miaka 5 bado mnalalamika.
Ukishaleta katiba mpya maana yake umeleta maji, shule,barabara na maisha Bora kwa kila mtu.tumekosa maisha Bora kutokana na kuongozwa na viongozi wabovu Kama akina Magu,makonda,mtungi,Ndugai and the like though we have everything.Na katiba na inatoa fursa ya hawa vilaza kuendelea kutudumaza
Mhe. Tundu Lissu mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA ameendelea kusisitiza kuwa hawezi kufungwa kwa kesi alizo nazo Mahakamani na kwamba haziwezi kumzuia kugombea Urais.
“Hafungwi mtu hapa” “Nina kesi sita Kisutu na zote ni za uchochezi.” Baraza Kuu la chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, limemchagua Tundu Lissu kuwa mgombea wake wa Urais katika Uchaguzi Mkuu 2020.
Mhe. Lissu ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa si yeye tu anayeweza kuwekewa pingamizi la kugombea Urais bali hata Mhe. Rais Magufuli pia anaweza kuwekewa pingamizi.
"Nani aliyesema kwamba CCM hawawezi kuwekewa mapingamizi? Nani aliyesema mgombea urais wa CCM, John Magufuli hawezi kuwekewa mapingamizi.? " Tundu Lissu, Mgombea Urais wa CHADEMA"
Kwenye fomu ya mapingamizi, kwenye sababu 16, la 16 Magufuli amekiuka Mambo yaliyokatazwa moja wapo ni rushwa maana ukishaingia kwenye uchaguzi huruhusiwi kutoa rushwa, Magufuli akiwa anatoka kumzika Mkapa Lupaso, alifanya nini Kibiti? " Tundu Lissu, Mgombea Urais wa
CHADEMA
Lissu amesema kitendo cha Rais kutoa fedha Kibiti, kununua jogoo kwa Laki Moja ni rushwa wakati wa uchaguzi.
Mhe. Lissu katika moja ya sera zake amesema iwapo atashinda basi atakuwa na jukumu kubwa la kurudisha uhusiano wa nchi kimataifa.
"Tukishinda urais wa Tanzania, mimi nitakuwa Rais wa Katiba mpya. Kama tunataka mfumo mzuri wa utawala, mahali pa kuanzia ni Katiba mpya. Hii ndilo tutaanza nalo. Haina maana hatutajenga shule, kuboresha Sekta ya Afya '
MY TAKE: Bado tutandelea kushuhudia matamko mengi kwenye Uchaguzi huu ni juu yetu watanzania kumpima kila mgombea ili tupate kiongozi bora kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Kama ya jamaa yako,sema tu corona haiko fairJapo kila nafsi itaonja mauti,kuna nafsi zingine inabidi ziwahishwe kwa manufaa mapana ya taifa
Mhe. Tundu Lissu mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA ameendelea kusisitiza kuwa hawezi kufungwa kwa kesi alizo nazo Mahakamani na kwamba haziwezi kumzuia kugombea Urais.
“Hafungwi mtu hapa” “Nina kesi sita Kisutu na zote ni za uchochezi.” Baraza Kuu la chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, limemchagua Tundu Lissu kuwa mgombea wake wa Urais katika Uchaguzi Mkuu 2020.
Mhe. Lissu ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa si yeye tu anayeweza kuwekewa pingamizi la kugombea Urais bali hata Mhe. Rais Magufuli pia anaweza kuwekewa pingamizi.
"Nani aliyesema kwamba CCM hawawezi kuwekewa mapingamizi? Nani aliyesema mgombea urais wa CCM, John Magufuli hawezi kuwekewa mapingamizi.? " Tundu Lissu, Mgombea Urais wa CHADEMA"
Kwenye fomu ya mapingamizi, kwenye sababu 16, la 16 Magufuli amekiuka Mambo yaliyokatazwa moja wapo ni rushwa maana ukishaingia kwenye uchaguzi huruhusiwi kutoa rushwa, Magufuli akiwa anatoka kumzika Mkapa Lupaso, alifanya nini Kibiti? " Tundu Lissu, Mgombea Urais wa
CHADEMA
Lissu amesema kitendo cha Rais kutoa fedha Kibiti, kununua jogoo kwa Laki Moja ni rushwa wakati wa uchaguzi.
Mhe. Lissu katika moja ya sera zake amesema iwapo atashinda basi atakuwa na jukumu kubwa la kurudisha uhusiano wa nchi kimataifa.
"Tukishinda urais wa Tanzania, mimi nitakuwa Rais wa Katiba mpya. Kama tunataka mfumo mzuri wa utawala, mahali pa kuanzia ni Katiba mpya. Hii ndilo tutaanza nalo. Haina maana hatutajenga shule, kuboresha Sekta ya Afya '
MY TAKE: Bado tutandelea kushuhudia matamko mengi kwenye Uchaguzi huu ni juu yetu watanzania kumpima kila mgombea ili tupate kiongozi bora kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Cause: Covid-19 mismanagement.Wataziimba wapi wakati watu wana machungu na ugumu wa uchumi. Saivi huko mikoani ni uhaba tu wa mafuta kutokana na ujinga wao CCM
Kumuwekea pingamizi ni kupoteza muda. Unamweeaje pingamizi mgombea ambaye unajua utamshinda? Kumwekea pingamizi ni kumuonea!
Mhe. Tundu Lissu mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA ameendelea kusisitiza kuwa hawezi kufungwa kwa kesi alizo nazo Mahakamani na kwamba haziwezi kumzuia kugombea Urais.
“Hafungwi mtu hapa” “Nina kesi sita Kisutu na zote ni za uchochezi.” Baraza Kuu la chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, limemchagua Tundu Lissu kuwa mgombea wake wa Urais katika Uchaguzi Mkuu 2020.
Mhe. Lissu ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa si yeye tu anayeweza kuwekewa pingamizi la kugombea Urais bali hata Mhe. Rais Magufuli pia anaweza kuwekewa pingamizi.
"Nani aliyesema kwamba CCM hawawezi kuwekewa mapingamizi? Nani aliyesema mgombea urais wa CCM, John Magufuli hawezi kuwekewa mapingamizi.? " Tundu Lissu, Mgombea Urais wa CHADEMA"
Kwenye fomu ya mapingamizi, kwenye sababu 16, la 16 Magufuli amekiuka Mambo yaliyokatazwa moja wapo ni rushwa maana ukishaingia kwenye uchaguzi huruhusiwi kutoa rushwa, Magufuli akiwa anatoka kumzika Mkapa Lupaso, alifanya nini Kibiti? " Tundu Lissu, Mgombea Urais wa
CHADEMA
Lissu amesema kitendo cha Rais kutoa fedha Kibiti, kununua jogoo kwa Laki Moja ni rushwa wakati wa uchaguzi.
Mhe. Lissu katika moja ya sera zake amesema iwapo atashinda basi atakuwa na jukumu kubwa la kurudisha uhusiano wa nchi kimataifa.
"Tukishinda urais wa Tanzania, mimi nitakuwa Rais wa Katiba mpya. Kama tunataka mfumo mzuri wa utawala, mahali pa kuanzia ni Katiba mpya. Hii ndilo tutaanza nalo. Haina maana hatutajenga shule, kuboresha Sekta ya Afya '
MY TAKE: Bado tutandelea kushuhudia matamko mengi kwenye Uchaguzi huu ni juu yetu watanzania kumpima kila mgombea ili tupate kiongozi bora kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Hahahaha mshaanza kusingizia covid??? Kweli CCM hali yenu mbaya mwaka huuCause: Covid-19 mismanagement.
Kuna mama mmoja alishangilia kauli ya kuuawa kwa Zito huko bungeni. Sijui mama huyu yuko wapi siku hizi? Usimtakie binadamu mwenzio kifo bila muumba kutaka. Utatangulia wewe.Endeleeni tu na ujinga wenu. Tunakusanya ushahidi wote mwaka huu. Mawakili wa Amsterdam hawako mbali sana na mahakama ya ICC. Lolote mtakalofanya mwaka huu mjue tu mwisho wenu ni aibu tu .