Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Ila kweli Mama katukosea sana ...adabu na heshima kwa tamaa au pressure mtandao maslahiMKUTANO WA TUNDU LISSU,#MBOPO,KAWE.
"Samia ameuza bandari zote zilizopo na zitakazokuwepo,ametukosea sana" Tundu Lissu,#Mbopo,Kawe.
"Nimeshuhudia vitu vingi vya hovyo lakini sijawahi kushuhudia, mkataba wa hovyo kama huu,sijui huyu Mama anashauriwa na nani" Tundu Lissu,#Mbopo,Kawe.
"Mkataba huu haurekebishiki,ni wa kuufuta tu hakuna namna nyingine" Tundu Lissu,#Mbopo, Kawe.
Hawatuthubutu kumpeleka mahakamani maana mkataba utawaambua huko mahakamani.Nadhani kesho atatiwa mbaroni!
Hakuna lisilowezekanaMKUTANO WA TUNDU LISSU,#MBOPO,KAWE.
"Samia ameuza bandari zote zilizopo na zitakazokuwepo,ametukosea sana" Tundu Lissu,#Mbopo,Kawe.
"Nimeshuhudia vitu vingi vya hovyo lakini sijawahi kushuhudia, mkataba wa hovyo kama huu,sijui huyu Mama anashauriwa na nani" Tundu Lissu,#Mbopo,Kawe.
"Mkataba huu haurekebishiki,ni wa kuufuta tu hakuna namna nyingine" Tundu Lissu,#Mbopo, Kawe.
Kama kawsida najisikia kumtag mama kipenzi FaizaFoxy aendelee kutuelimisha hapa.MKUTANO WA TUNDU LISSU, MBOPO, KAWE.
"Samia ameuza bandari zote zilizopo na zitakazokuwepo, ametukosea sana"
"Nimeshuhudia vitu vingi vya hovyo lakini sijawahi kushuhudia, mkataba wa hovyo kama huu, sijui huyu Mama anashauriwa na nani"
"Mkataba huu haurekebishiki, ni wa kuufuta tu hakuna namna nyingine"
View attachment 2676581
Tundu Lissu
Mbopo, Kawe.
Hili balaa kubwaMKUTANO WA TUNDU LISSU, MBOPO, KAWE.
"Samia ameuza bandari zote zilizopo na zitakazokuwepo, ametukosea sana"
"Nimeshuhudia vitu vingi vya hovyo lakini sijawahi kushuhudia, mkataba wa hovyo kama huu, sijui huyu Mama anashauriwa na nani"
"Mkataba huu haurekebishiki, ni wa kuufuta tu hakuna namna nyingine"
View attachment 2676581
Tundu Lissu
Mbopo, Kawe.
Kiki pekee ambayo chadomo wamebaki nayo with no agendaMKUTANO WA TUNDU LISSU, MBOPO, KAWE.
"Samia ameuza bandari zote zilizopo na zitakazokuwepo, ametukosea sana"
"Nimeshuhudia vitu vingi vya hovyo lakini sijawahi kushuhudia, mkataba wa hovyo kama huu, sijui huyu Mama anashauriwa na nani"
"Mkataba huu haurekebishiki, ni wa kuufuta tu hakuna namna nyingine"
View attachment 2676581
Tundu Lissu
Mbopo, Kawe.
Hilo siyo tatizo kabisa, unafikiri hata mwendazake alikuwa anaelewa?Sidhani kama Samia ana uwezo wa kusoma hiyo mikataba na kuelewa alichokisoma.
Yeye ni wa kusubiri kuambiwa tu na wengine.
Vyovyote atavyoambiwa na hao anaowategemea, ndivyo naye atavyokwenda.
She is an empty suit.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Na bado!Samia kauza bandari zetu zilizopo na zijazo. Sielewi huyu mama hushauriwa na nani. Nimewahi kushuhudia mambo mengi ya hovyo, ila kwa huu MKATABA wa BANDARI ni zaidi ya hovyo! Sijawahi kushuhudia Rais anayefanya mambo ya hovyo kama tuliyenaye sasa.
Tundu.