Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni zaidi ya malaria boss.Mwone Daktari,inawezekana ni malaria kali
Huna kitu aisee.Hujui tofauti ya IGA na hga,hujui pia tofauti ya contract na agreement...hakuna anayekuchanganya,ni umbumbumbu wako tu
Hapo umemaanisha IGA ni hgaHuna kitu aisee.
Unataka kulazimisha kuendeleza upotoshaji wa jambo ambalo tayari watu wamekwisha lielewa muda kitambo.
Hata uchanganye hayo maneno vipi, ukweli utabaki ule ule kwamba huwezi kuvitenganisha yaliyomo kwenye IGA (Agreement), na mikataba (contract) zitakazotokana na makubaliano hayo. IGA ndiyo basis ' ya hiyo mikataba itakayofuata.
Ubovu katika IGA unazaa ubovu zaidi kwenye 'contracts'.
Kama nchi ina katiba mbovu, itazaa sheria mbovu zinazotokana na katiba hiyo.
Uliwahi kumuona au ndo Yale maneno yake unayaamini?Unafikiri mwendazake alikuwa mjinga!?
alikuwa anasoma na kufanya kazi hadi usiku wa manane
Hiyo maana umeitoa wapi; maana mimi sijasema hivyo.Hapo umemaanisha IGA ni hga
😳😳Kwani hakula chuma? Au hukuwepo duniani?Huyu angekua awamu ya 5 angekula chumaa .
Hii kauli yako inaonesha hujiamini, na wala huwaamini waliopo, unakosea.Tungepata majembe ishirini kama haya tanganyika,
Hakiaka bandari zote zingerudi!!
R.I.P MTIKILA
Shida ya watanzania ndiyo hiyo yaana badala utoke ukapambane uñawaza watokee wa kukupambaniaTungepata majembe ishirini kama haya tanganyika,
Hakiaka bandari zote zingerudi!!
R.I.P MTIKILA
Yeye hana akili ya kujua baya na zuri?SIMLAUMU RAIS WETU MPENDWA NAWALAUMU WASHAURI WAKE NA WAANDAAJI WA MKATABA HUO!, HAWA WOTE NDIO WA KULAUMIWA, RAIS HUWA NA MAMBO MENGI, NA HUTEUWA WASAIDIZI MAKINI ILI WAMSAIDIE, PALE WANAPOSHINDWA KUMSAIDIA NDIPO HUWA SHIDA.