Ngoja tuoneNadhani kesho atatiwa mbaroni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuoneNadhani kesho atatiwa mbaroni!
Inauzwa.bandari inauzwa au inakodishwa?
***mtumwaIkiwa unadhani sauti yako (Mwananchi) Ina nguvu kulingana na kile mlichoaminishwa kuwa ni demokrasia! Basi ujue wewe ni myumwa usiyejitambua. Dunia hai_operate hivo. Hata hao mnaowaita wapinzani, mnawezaona Wana sera makini; ila nyuma ya pazia wapo team Moja (na hao wanaojifanya kuwakosoa hadharani). Amkeni jamani kwani hamuoni? Elewa tu hakuna demokrasia duniani (Siyo kura yako inayofanya Kiongozi mkubwa aipate nafasi aliyonayo)...
Hujui tofauti ya IGA na hga,hujui pia tofauti ya contract na agreement...hakuna anayekuchanganya,ni umbumbumbu wako tuHatuna; kwa sababu mkanganyiko umewekwa maksudi kwa kujua au kwa maksudi kuchanganya watu kati ya IGA na hiyo HGA.
Usifikiri hilo hatuijui na kulitambua.
IGA iwe ni "Makubaliano" au isiwe; ina mambo yanayohusu "Mikataba" unayozungumzia wewe.
Unaweza kuwa Rais lakini ukawa ni tahira.Wew mpu. mbavu wee ambaye siyo tahira siyo dhaifu mbona hujawa Rais sasa
shida ni uchawa, washauri wapo ila hawawezi kumshauri mama Mzanzibar aliejiapiza kujipendekeza kwa ndugu zake au miungu wa waislamu a.k.a Waarabu.Hilo siyo tatizo kabisa, unafikiri hata mwendazake alikuwa anaelewa?
Si ndiyo maana wapo makatibu wakuu na wasaidizi kibao wa mambo ya sheria Ikulu. Au wote ni maboya?
Vidume vya DP World washafunguwa Loliondo zao Dubai, wewe bado upo Loliondo? Jionee:
Vidume vya DP World hivyo.
Akifuta mikutanoWacha aseme ukweli japo mikutano ya hadhara inaweza tena kuzuiliwa kuogopa hii issue ya bandari kwa umma.
Clip muhimu mkuu.
wapi kwenye mkataba pameandikwa kuwa bandari imekodishwa? hii imeuzwa kabisa maana tunaona mwanzo tu ila hakuna pahala popote imeandikwa kuwa itakuwa mwisho.bandari inauzwa au inakodishwa?
sasa utakodishaje kitu akudign bila rotdate? mkataba sijausoma ebu kama unayo tuma PDFwapi kwenye mkataba pameandikwa kuwa bandari imekodishwa? hii imeuzwa kabisa maana tunaona mwanzo tu ila hakuna pahala popote imeandikwa kuwa itakuwa mwisho.
Anafanya reference ya mkataba upi wa mauziano ambao rais ameuingia?MKUTANO WA TUNDU LISSU, MBOPO, KAWE.
"Samia ameuza bandari zote zilizopo na zitakazokuwepo, ametukosea sana"
"Nimeshuhudia vitu vingi vya hovyo lakini sijawahi kushuhudia, mkataba wa hovyo kama huu, sijui huyu Mama anashauriwa na nani"
"Mkataba huu haurekebishiki, ni wa kuufuta tu hakuna namna nyingine"
View attachment 2676581
Tundu Lissu
Mbopo, Kawe.
Umeanza lini kushabikia taarifa toka kwa "walaanika"?
Inawezekana ni tafsiri ya neno "kuuzwa" ndiyo inayoleta shida. Jee neno kuuzwa kwa muktadha wa hotuba ya Lissu limeeleweka!??Anafanya reference ya mkataba upi wa mauziano ambao rais ameuingia?
Honestly hata huyu mama auze nchi nzima wote tuondoke, hakuna namna yoyote nitamuona dhalimu alikuwa mtu wa maana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mamako ni bora kuliko dhalimu wako ndio!
.
Ndio maana kakuuza uarabuni
Na kweli sasa wataizuia , lakini na jeshi na polisi hakuna anayebariki kuuzwa Kwa Tanganyika ie na wao wauzweWacha aseme ukweli japo mikutano ya hadhara inaweza tena kuzuiliwa kuogopa hii issue ya bandari kwa umma.
Clip muhimu mkuu.
Mwone Daktari,inawezekana ni malaria kaliHonestly hata huyu mama auze nchi nzima wote tuondoke, hakuna namna yoyote nitamuona dhalimu alikuwa mtu wa maana.