Tundu Lissu: Rais Samia ameuza bandari zetu zote zilizopo na zitakazokuwepo

Tundu Lissu: Rais Samia ameuza bandari zetu zote zilizopo na zitakazokuwepo

Hivi hilo tundu linausoma mkataba upi wa mauzo ya bandari?


Huyo naona sumu ya shaba imemuingia kichwani. Maana kile kichapo kilikuwa si mchezo, lazima vichenga chenga vya shanba vipo mwilini.

Hivi wadunguaji wake bado hawajajulikana paka leo?
Mbona unarudia sana ishu ya Lissu kupigwa risasi? Ina uhusiano gani na mkataba wa Bandari.

Inaonekana unatamani sana Lissu afe ili tu Samia asisemwe.
 
Hakuna lisilowezekana
Hakuna lisiloweza kubatirishika
Ikithibitika kuna uongo,Rushwa,Undue influence na fraudulent practices..

Tunaweza vunja mkataba,tunaweza Epuka kusaini mikataba kitita..

Kwa sasa yamkini Serikali ildanganywa,ama washauri wali hongwa..Lobbyists walitumika Kwa tamaa..

URT ni nchi yenye haki zake nyingi sana..Na Mianya ya kurekebisha kasoro/makosa/Mapungufu yapo..

Kama ilivyoshauriwa na wanazuoni,wasomi waandamizi hata Bunge Lina mamlaka ya kufuta azimio la ku ratify mkataba au MOU husika..

Tusitishwe kujikwaa sio kuanguka..Viongozi wetu mnayo nafasi ya kurekebisha makosa..Changamoto Kwa faida ya vizazi vya sasa na baadae..
Mkataba unasema hata Yesu akirudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba, nini hamuelewi?! Huyu mama atupishe tuu..!!!
 
Hizo lawama zinazobaki tusisahau kuwagawia genge lililopo kule Bungeni..., Bora yule aliyeondoka mapema kwenye kiti na kutwambia tutaamka tukute tumeuzwa...
 
Hana umaana wowote, lakini ni Bora mara mia kuliko dhalimu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mamako ni bora kuliko dhalimu wako ndio!
.
Ndio maana kakuuza uarabuni
 
Mara nyingi, watu waovu, wapuuzi, wazembe na wajinga wametumia mwavuli wa Rais au collective responsibility serikalini kusababisha matatizo kwa raia na hasara kwa taifa kwa ujumla.
Huyo rais unayemwongelea hapa usidhani yeye ni 'robot' tu la kuwa'programmed' na hao unaowaita washauri.

Maana ya kuwa rais ni lazima awe na sifa za msingi kutambua ubovu hata katika maeneo ambayo hana ujuzi nayo.
Na zaidi ya hivyo, ujue kuwa yeye huyo huyo rais si lazima ategemee ushauri toka mahali pamoja tu, kwa hao washauri.
Kama anayo mashaka yotote juu ya anayoshauriwa, kwa nini asitafute ushauri wa ziada toka nje ya hao washauri, hata nje ya nchi inapobidi.

Watu mnaotoa visingizio kwa ushauri, na kumwacha mtu mhusika mkuu wa madudu yanayofanyika sijui huwa mnatetea kwa sababu zipi hasa.

Huyo huyo rais aliwateua hao washauri akijua ni watu anaoweza kuwadhibiti ili wafuate matakwa yake.
 
MKUTANO WA TUNDU LISSU, MBOPO, KAWE.

"Samia ameuza bandari zote zilizopo na zitakazokuwepo, ametukosea sana"

"Nimeshuhudia vitu vingi vya hovyo lakini sijawahi kushuhudia, mkataba wa hovyo kama huu, sijui huyu Mama anashauriwa na nani"

"Mkataba huu haurekebishiki, ni wa kuufuta tu hakuna namna nyingine"

View attachment 2676581

Tundu Lissu
Mbopo, Kawe.

Hongera Lissu kwa kututetea
 
Licha ya yote yaliyoandikwa kuhusu mapungufu, yeye bado anashangaa ni mkataba upi wenye mapungufu!
Mtu mwenye akili ya namna hiyo unadhani kichwani mwake zimo za kutosha?
Hakuna mkataba..mna matatizo gani!?
 
Hilo siyo tatizo kabisa, unafikiri hata mwendazake alikuwa anaelewa?

Si ndiyo maana wapo makatibu wakuu na wasaidizi kibao wa mambo ya sheria Ikulu. Au wote ni maboya?
Rais unaingia mzima mzima kwenye mkataba? Huweki hata kivuli ili yakikushinda mbeleni unatosa watu?

Rais unaweka signature kabisa? Kwenye utumbo? Inawezekana washauri wake ndio nyie tusimshangae sana.

Magufuli alikua hovyo kwa kichaa chake huyu bibi ni hovyo kwa upeo wake.
 
Huyo rais unayemwongelea hapa usidhani yeye ni 'robot' tu la kuwa'programmed' na hao unaowaita washauri.

Maana ya kuwa rais ni lazima awe na sifa za msingi kutambua ubovu hata katika maeneo ambayo hana ujuzi nayo.
Na zaidi ya hivyo, ujue kuwa yeye huyo huyo rais si lazima ategemee ushauri toka mahali pamoja tu, kwa hao washauri.
Kama anayo mashaka yotote juu ya anayoshauriwa, kwa nini asitafute ushauri wa ziada toka nje ya hao washauri, hata nje ya nchi inapobidi.

Watu mnaotoa visingizio kwa ushauri, na kumwacha mtu mhusika mkuu wa madudu yanayofanyika sijui huwa mnatetea kwa sababu zipi hasa.

Huyo huyo rais aliwateua hao washauri akijua ni watu anaoweza kuwadhibiti ili wafuate matakwa yake.
Hoja yangu ya msingi ni kwamba, ni muhimu sana kuwa na wananchi wenye akili nzuri na uelewa kwani viongozi, wasaidizi wa Rais na hata Rais mwenyewe hutokana na wananchi. Hivyo basi, ukiwa na wananchi na wasaidizi wazuri, hupati matatizo kwa Rais.
Nyumba ikijengwa kwenye msingi na Kuta mbovu, marekebisho na urembo kwenye paa hayana ufanisi wowote, tuondoe chanzo cha tatizo kwa kurudi kwenye msingi.
 
Hoja yangu ya msingi ni kwamba, ni muhimu sana kuwa na wananchi wenye akili nzuri na uelewa kwani viongozi, wasaidizi wa Rais na hata Rais mwenyewe hutokana na wananchi. Hivyo basi, ukiwa na wananchi na wasaidizi wazuri, hupati matatizo kwa Rais.
Nyumba ikijengwa kwenye msingi na Kuta mbovu, marekebisho na urembo kwenye paa hayana ufanisi wowote, tuondoe chanzo cha tatizo kwa kurudi kwenye msingi.
Sijui kama unaona tatizo lolote na hoja yako hii au laa!

Wewe unadhani nchi hii haina "wananchi wenye akili nzuri na uelewa"?
Hao wenye sifa hizo sasa tukawaokote wapi?

Uamini wangu ni kwamba waTanzania ni watu wenye uelewa mzuri sana wa mambo. Kukosekana kwa mbadala wanaoweza kuutumia badala ya CCM iliyokwishakaa madarakani kwa muda mrefu sana, usichukulie hilo kuwa ndiyo kielelezo cha waTanzania kutokuwa na uelewa.

Kwa mfumo huu tulionao sasa hivi wa kuwapata hawa viongozi, hasa ngazi ya Rais, ambapo ni CCM hiyo hiyo inayechagua huyo Rais, utalaumu vipi wananchi.

Na huyo huyo rais anaposhika madaraka, anakidhibiti chama kilichomweka madarakani na wengine wote ikiwa ni pamoja na hao washauri.
Kwa hiyo anakuwa na uhuru wa kufanya jambo lolote, washauri wawepo au wasiwepo!
 
Kwa kweli ametukosea sana, hasa tuliokuwa mstari wa mbele kusema anaupiga mwingi. Maneno hayo yametutokea puani. Katutia sana aibu.
 
Wacha aseme ukweli japo mikutano ya hadhara inaweza tena kuzuiliwa kuogopa hii issue ya bandari kwa umma.

Clip muhimu mkuu.
Hii ya kuzuia mikutano haiwezekani tena. Aliweza Magufuli peke yake. Wakijaribu watakaribisha maandamano.
 
Back
Top Bottom