Tunahitaji tuwe wananchi au raia tunaojielewa, tunaoweza kupambana katika dunia ya sasa kuliko kuwategemea viongozi tu na kuwatupia lawama.
Najua kuna watu wanasema madaraka yote yapo kwa Rais kwa mujibu wa katiba, Hiyo ni kweli, lakini haimaanishi tusubirie kupata matatizo au kifo kama wanyama wanaochinywa au kuliwa. Lazima tufanye vitendo vya kuwalaumu na kuwashughulikia wale wataalamu au wasaidizi wa Rais wanaosababisha hali hii.
Mara nyingi, watu waovu, wapuuzi, wazembe na wajinga wametumia mwavuli wa Rais au collective responsibility serikalini kusababisha matatizo kwa raia na hasara kwa taifa kwa ujumla.
Kila mwananchi apambane na kuunganisha nguvu kwenye nafasi yake dhidi ya unyonyaji wa kimataifa na madalali wao walio ndani.
Najua kuna watu wanasema madaraka yote yapo kwa Rais kwa mujibu wa katiba, Hiyo ni kweli, lakini haimaanishi tusubirie kupata matatizo au kifo kama wanyama wanaochinywa au kuliwa. Lazima tufanye vitendo vya kuwalaumu na kuwashughulikia wale wataalamu au wasaidizi wa Rais wanaosababisha hali hii.
Mara nyingi, watu waovu, wapuuzi, wazembe na wajinga wametumia mwavuli wa Rais au collective responsibility serikalini kusababisha matatizo kwa raia na hasara kwa taifa kwa ujumla.
Kila mwananchi apambane na kuunganisha nguvu kwenye nafasi yake dhidi ya unyonyaji wa kimataifa na madalali wao walio ndani.