Kama wewe.Uhuru ni tangu 1962? Au ni Jamhuri...
Lissu ni mbabaishshaji na mpayukaji tu, wenye akili timamu wanampotezea tu
Mjibu hoja yakeUhuru ni tangu 1962? Au ni Jamhuri...
Lissu ni mbabaishshaji na mpayukaji tu, wenye akili timamu wanampotezea tu
Wakati hayo yanafanyika yeye Samia alikuwa wapi?
Kunajisiwa huko kulianza karne nyingiAkiwa mbunge wa kawaida ana kosa nini?
Ukishangilia yaliymkuta Ndugai ni kwamba una shangilia kunajisiwa kwa bunge
Na hapa badilisheni nchi iwe ya kifalme.Lissu bana!
Kila nchi na utaratibu wake -- kuna nchi nyingine viongozi wao ni wafalme kabisa na wakifa watoto wao wanasimikwa kuwa wafalme. Na mambo ya nchi zao yanaenda.
Na sisi utaratibu wetu ni kwamba Rais wetu awe na mamlaka yale -- waasisi wa Tanzania waliowaza na kuisuka hiyo katiba iliyompa Rais hayo madaraka hawakuwa wajinga. Nachukia sana kuona watu ambao hawajaifanyia Tanzania kitu chochote cha maana zaidi ya ulalamishi na kutafuna kodi zetu kupitia ulalamishi tu na kuquestion wisdom ya waasisi wetu waliotukuka. Who is Lissu katika nchi ya mamilioni ya watanzania wanaoona ni sahihi Rais kuwa na madaraka aliyo nayo?
Awkward!
Hayo ni maneno ya akili sana.
Ijapokuwa spika alikuwa mchungu kwa Lissu lakini Lissu amesimama na kweli.
Inakuwaje mhimili mmoja kuudonoa mwingine ? Ingefaa zaidi mihimili yote iwe na kinga
Leo unamwondoa co-worker wako vile kasema kweli.
Ila ipo siku tutamkumbuka job.
Mbona Lema na genge lake wanashangilia Samia kunajisi bunge?
Tunashangilia kuona Ndugai anaanguka maana alikuwa mhuni tuu ndani ya bunge! Ila mhimili wa bunge kwa Tanzania hauna maana yoyote ile.Mbona Lema na genge lake wanashangilia Samia kunajisi bunge?
Ni upumbavu wa kiwango cha juu kuamini kwamba waliokutangulia walikuwa na akili kuliko wewe. Hata kama mambo mengine waliyofanya yalikuwa ni ya kijinga.Lissu bana!
Kila nchi na utaratibu wake -- kuna nchi nyingine viongozi wao ni wafalme kabisa na wakifa watoto wao wanasimikwa kuwa wafalme. Na mambo ya nchi zao yanaenda.
Na sisi utaratibu wetu ni kwamba Rais wetu awe na mamlaka yale -- waasisi wa Tanzania waliowaza na kuisuka hiyo katiba iliyompa Rais hayo madaraka hawakuwa wajinga. Nachukia sana kuona watu ambao hawajaifanyia Tanzania kitu chochote cha maana zaidi ya ulalamishi na kutafuna kodi zetu kupitia ulalamishi tu na kuquestion wisdom ya waasisi wetu waliotukuka. Who is Lissu katika nchi ya mamilioni ya watanzania wanaoona ni sahihi Rais kuwa na madaraka aliyo nayo?
Awkward!
Hujui chochote!Maovu ya awamu ya 5 utafananisha na ya awamu ya 4.
Awamu ya 5 ilikuwa motoo.
Ukijitokeza kumkosoa magufuli wewe ulikuwa mwanamme kweli
We jamaa mchnago wako n wa kipuuzi sana na wala hauna mantiki yoyote, hivi una uhakika Lissu hajawai kufanya kitu chochote cha maana nchini, hivi unataka kusema Lissu hakuwai kupambana kuhusu maeneo yenye migodi kama Nyamongo ili watu wapate haki zao, Michango ya Lissu bungeni ilikua haina maana ktk nchi hii. Hivi kufanya mambo ya maana ni mpaka uunge mkono juhudi za serikali iliyoko madarakan.Lissu bana!
Kila nchi na utaratibu wake -- kuna nchi nyingine viongozi wao ni wafalme kabisa na wakifa watoto wao wanasimikwa kuwa wafalme. Na mambo ya nchi zao yanaenda.
Na sisi utaratibu wetu ni kwamba Rais wetu awe na mamlaka yale -- waasisi wa Tanzania waliowaza na kuisuka hiyo katiba iliyompa Rais hayo madaraka hawakuwa wajinga. Nachukia sana kuona watu ambao hawajaifanyia Tanzania kitu chochote cha maana zaidi ya ulalamishi na kutafuna kodi zetu kupitia ulalamishi tu na kuquestion wisdom ya waasisi wetu waliotukuka. Who is Lissu katika nchi ya mamilioni ya watanzania wanaoona ni sahihi Rais kuwa na madaraka aliyo nayo?
Awkward!
Waulize wenzako mama D Kiturilo Jumbe Brown Lord denning Suphian JumaMbona Lema na genge lake wanashangilia Samia kunajisi bunge?
Ndugai kaangukaje?Tunashangilia kuona Ndugai anaanguka maana alikuwa mhuni tuu ndani ya bunge! Ila mhimili wa bunge kwa Tanzania hauna maana yoyote ile.
Hujui chochote!
Mwangosi yuko wapi?
Dr Mvungi yuko wapi?
Wale watu walikufa kwa kurushiwa bomu kwenye mkutano wa chadema pale Arusha ilikuwa ni awamu ya 5 ile
Kwa hiyo Nyerere aliyesema Katiba inampa Rais nguvu kupitiliza alikosea?Lissu bana!
Kila nchi na utaratibu wake -- kuna nchi nyingine viongozi wao ni wafalme kabisa na wakifa watoto wao wanasimikwa kuwa wafalme. Na mambo ya nchi zao yanaenda.
Na sisi utaratibu wetu ni kwamba Rais wetu awe na mamlaka yale -- waasisi wa Tanzania waliowaza na kuisuka hiyo katiba iliyompa Rais hayo madaraka hawakuwa wajinga. Nachukia sana kuona watu ambao hawajaifanyia Tanzania kitu chochote cha maana zaidi ya ulalamishi na kutafuna kodi zetu kupitia ulalamishi tu na kuquestion wisdom ya waasisi wetu waliotukuka. Who is Lissu katika nchi ya mamilioni ya watanzania wanaoona ni sahihi Rais kuwa na madaraka aliyo nayo?
Awkward!
Ndugai kaangukaje?
Lililoanguka ni bunge, maana Ndugai atakaa pembeni akiendelea kula maisha, sasa vipi kuhusu bunge?
Ndio maana nikakwambia hunbda ujualoKati ya awamu ya 5 na ya 4 ipi ilikuwa katili kushinda mwenzie?
UNAOTA WEWE.
Ndio maana nikakwambia hunbda ujualo