Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Hayo ni maneno ya akili sana.
Ijapokuwa spika alikuwa mchungu kwa Lissu lakini Lissu amesimama na kweli.
Inakuwaje mhimili mmoja kuudonoa mwingine ? Ingefaa zaidi mihimili yote iwe na kinga
Leo unamwondoa co-worker wako vile kasema kweli.
Ila ipo siku tutamkumbuka job.
Ijapokuwa spika alikuwa mchungu kwa Lissu lakini Lissu amesimama na kweli.
Inakuwaje mhimili mmoja kuudonoa mwingine ? Ingefaa zaidi mihimili yote iwe na kinga
Leo unamwondoa co-worker wako vile kasema kweli.
Ila ipo siku tutamkumbuka job.