Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ndugai kaangukaje?
Lililoanguka ni bunge, maana Ndugai atakaa pembeni akiendelea kula maisha, sasa vipi kuhusu bunge?
Kwani hilo bunge lilikuwa limesimama? Kama hata akikaa pembeni angeendelea kula maisha, kipi kilichomfanya agombee ubunge tena kwa kupora uchaguzi?