RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
- Thread starter
-
- #81
Jiwe atapita kwa mbeleko ya chuma! Ndiyo maana CCM ukiwaambia tume huru, wanapagawa na kuanza kuropoka hovyo!CCM WAMTEUE MEMBE APAMBANE NA LISSU!!KWA JIWE NA LISU,Jiwe hachomoki hatopata kura kabsa!lisu atapata za huruma!!ili wabalansi membe apewe kijiti apambane na lisu!!!NEC MTEUENI MEMBE!!!
Kila mtu ni mwehu, tofauti ni kiwango cha wehu wenyewe! Aliyepo mwenyewe alishasema hayuko sawa.Tanzania haitoweza kutawaliwa na Rais mwehu
Chadema wataangukia pua kama wata msimamisha Tundu Lissu. Kwa sababu Tundu Lisu siyo presidential material. Kwangu mimi Mbowe ndo presidential material pekee Chadema. Wengine wote bado wana mihemuko mingiSawa, lakini hujataja unayemwona ana sifa hizo unazotaka wewe!
Tuwekee hapa wasifu wako kama wewe unazo hizo sifa ili tuanze kukutafutia wafuasi.
Gorefoo wang'u mnyampaaYooo ngwii mwefooo na
Kwani Chadema imeishatangaza mgombea wake? Kama bado, huyo Lissu kapitishwa nani?View attachment 1311781
Kama ni kweli, Rais Magufuli hatakubali Tume huru ya uchaguzi iundwe kabla ya uchaguzi mkuu!
Chadema wataangukia pua kama wata msimamisha Tundu Lissu. Kwa sababu Tundu Lisu siyo presidential material. Kwangu mimi Mbowe ndo presidential material pekee Chadema. Wengine wote bado wana mihemuko mingi
Yuu neveve no orefoo kono na mwaniryuu
Mwandishi wa gazeti Tanzania Daima ndiyo ametufikishia ujumbe! Lakini imahitaji akili kidogo kuelewa, hasa waliozoe kuabudu mawe inakuwa shida kidogo!Kwani Chadema imeishatangaza mgombea wake? Kama bado, huyo Lissu kapitishwa nani?
sifa kubwa ya kiongozi ni kuwa na uwezo wa kuwashawishi watu including wapinzani wako waamini wakione na kukiamini/kubuy in kwa kile unachokiamini.Lissu ana akili na uwezo wa kushawishi ,huyu mwingine amekosa vyote, ndo maana unaona matumizi ya vyombo vya dola na makundi mengine yasiyo halali yamekuwa makubwa maana hawezi kujenga hoja wala kukieleza kile anachokiamini kwa watu wengineWatu wengi tulidhani Magufuli angekuwa rais bora, kutokana na uchapa kazi na misimamo yake. Sasa hivi nimejifunza, watu wenye misimamo mikali hawafai kuwa ma Rais, ni watu wenye viburi, kujiamini kuliko pitiliza na wasio penda kusikiliza watu wengine. Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli, tabia zao zinafanana sana. Tindu Lisu hafai kuwa Rais.
Tuelimishe mkuu, kura ukipiga zinajihesabu na kujitangaza!?
Hakuna kitu ila kuna mgombea urais makini kupitia Chadema ambaye Rais Magufuli huwa anashindwa kutamka jina lake kwa hofu isiyo kipimo!Hakuna kitu hapo, ila yaruhusiwa kujifariji...
Hawa watu wamezoea vya kunyonga vya kuchinja hawawezi!Wakikujibu unishtue please!