Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akiliHakuna kesi hapo. Sheria mpya inasema mpira mzima unapaswa kuvuka mstari. Wa Yanga ulivuka robo 3 tu.
Jipangeni upya na msajili vizuri.
Toa ushahidi kamili kuonyesha kuwa haukuvukaHakuna kesi hapo. Sheria mpya inasema mpira mzima unapaswa kuvuka mstari. Wa Yanga ulivuka robo 3 tu.
Jipangeni upya na msajili vizuri.
Sidhani kama Lisu anajua sheria za mpira, atatushauri tusilalamike ili tushishitakiwe MIGA. Nadhani hapa wa kutusaidia ni Fatma Karume kwani yeye naona kabobea sheria zote. Si unajua jinsi alivyoichachafya TFF kuhusu Fei Toto?
Hakuna kesi hapo. Sheria mpya inasema mpira mzima unapaswa kuvuka mstari. Wa Yanga ulivuka robo 3 tu.
Jipangeni upya na msajili vizuri.
Mkuu ulikua unaangalia Mpira kwenye radio , mpira umezama wote uleHakuna kesi hapo. Sheria mpya inasema mpira mzima unapaswa kuvuka mstari. Wa Yanga ulivuka robo 3 tu.
Jipangeni upya na msajili vizuri.
Popomalism at workTutashitakiwa MIGA tukidai haki zetu kwenye madini
Waliesabu bila kujua sheria ya line goal theory. Kwa Sheria hii lile sio goli period
Wataalamu wa VAR wamegoma, wewe uliyeoneshwa unapiga kelele. Huoni kuwa huo ni uwendawazimu?Mkuu ulikua unaangalia Mpira kwenye radio , mpira umezama wote ule
Kamati ya masaa 72 itawarudishia goli na refa atafungiwa!
Huyo refa afungiwe kabisaKamati ya masaa 72 itawarudishia goli na refa atafungiwa!
Yanga Ina mashabiki walalamishi sana. Siku hizi mstari wa goli umeunganishwa na saa ya mwamuzi, yaani mpira ukivuka mstari saa ya mwamuzi inatetema yenyewe. Teknolojia hii inaitwa Goal line technology.Yanga ndio timu inayojadiliwa zaidi Africa kwa Sasa.!