Haya nenda nusu fainali sasa.Ulaya kwenyewe wamethibitisha ni goli halali, we ni nani hadi ukatae au zile goli 5-1 bado zinakutesa sana Kolowizards?
Kenge hawakosekani kwenye msafara wa mamba, wahi sasa kuzimu kuchukua zawadi yako ya roho mbaya maana uchawi si kupaa tu na ungo. View attachment 2957610View attachment 2957611