Tundu Lissu, Sheria ya Mpira inasemaje juu ya goli la Yanga? Je, kuna uwezekano wa kufungua kesi?

Tundu Lissu, Sheria ya Mpira inasemaje juu ya goli la Yanga? Je, kuna uwezekano wa kufungua kesi?

Nilishaapa sikuiti tena Mbumbumbu ila napenda tu unavyowachachafya Utopolo bila ya kujua hauko sirias zaidi ya kufurahia tu wanavyotokwa mapovu ilihali ulikubali ni goli halali kwenye uzi wa Mamelody Sundowns VS Yanga SC [emoji847]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan napenda mnoo wanavyolalama, najisikia raha sana, ila lile ni goal halali, tena la mashindano kabisaa,

Aziz kii angechukua tuzo ya goal bora la mwaka.
 
Line goal TEC umeiona wapi mkuu maana haikuwepo na havijafungwa hivyo vifaa uwanjan na hatukuoneshwa kwa kuchora mstari sasa mwenzetu tuambie uliiona wapi?
We jamaa wewe, sijui umefungiwa ndani ya box?! Haya angalia hapo bhasi
 
Usiniangishe kipenzi cocastic as huijui sheria ya line goal. Tatizo waongo hatujazoea VAR na sheria zake😂😂
Nimeweka video in my previous comment, jiridhishe
 
Usiniangishe kipenzi cocastic as huijui sheria ya line goal. Tatizo waongo hatujazoea VAR na sheria zake[emoji23][emoji23]
Nimeweka video in my previous comment, jiridhishe
Sio goal bhana kipenziiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan hujazoea tyuuh? Hebu songa mbelee.
 
We jamaa wewe, sijui umefungiwa ndani ya box?! Haya angalia hapo bhasi
View attachment 2957821
Mkuu pole sana angalia Tena hiyo video Kisha njoo Tena hapa, uje na majibu CAF Wana goal line technology? Na hiyo line wao wameotoa wapi au wameedit? Pia hicho kiwanja hayo matangazo ni ya CAF ? Pili hicho kiwanja hayo matangazo nyuma mbona yapo Mbali na goal kuliko uhalisia wa kiwanja kilichotumika kwenye huo mchezo ? Kwann hawakutuonesha siku ile kwa kuchora mstari kama wanavyochoraga mchezaji akiwa offside?
 
Back
Top Bottom