Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Sijapokea wito kutoka Tume ya Uchaguzi. Sitarajii kuacha Kampeni kwa kuitikia wito kutoka mitandaoni

Huyo mzee ambae hata kuongea hawezi, maneno yanashindwa kutoka mdomoni, inaonekana hata kiswahili hajui vizuri ndio wakumuhoji Lissu?.
Tumeccm NECCCM ni chombo binafsi cha CCM na hakifanyi kazi kwa mjibu wa Sheria na katiba bali hufanya kazi kwa mjibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
 
Hivi Watanzania tumerogwa na nini?

Tumepata bahati hii, mtu mwenye upeo mkubwa hivi. Lakini bado hatuoni.

Nahisi Nyerere kafufuka.

Haya mambo ukikaa ukitulia utagundua TUNDU LISSU yupo sahihi ndugu zangu.
 
Safari hii CCM inaenda na maji ya Malawi Zambia kenya congo Ghana Gambia yanaenda kutokea Tanzania walikuwemo akina Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein Elbashiri mabutu Iddy Amin dada leo wapo wapi? Hakuna mabaya yasiyo na mwisho
 
Safari hii CCM inaenda na maji ya Malawi Zambia kenya congo Ghana Gambia yanaenda kutokea Tanzania walikuwemo akina Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein Elbashiri mabutu Iddy Amin dada leo wapo wapi? Hakuna mabaya yasiyo na mwisho
Hiki chama kinahitaji kife na kizikwe. RIP CCM
 
Mimi si mshabiki wa siasa lakini katika hili nasimama na Lissu.

Hii tabia ya kupangiana mambo namna hii ni ya kijinga sana.
Tumeccm NECCCM haifanyi kazi kwa mjibu wa Sheria bali inafanya kazi kwa mjibu wa zidumu fikra zisizo za mtukufu mwenyekiti wa CCM
 
Sheria ndo inataka hivyo, chama kinalalamika kwa tume, chama knacholalamikiwa kinajibu kwa niaba ya mgombea. Mgombea anaendelea na kampeni zake maana aliyemdhamini mgombea ni chama.

Sijui kama NEC ina wanasheria, au mwanasheria wao ni Polepole
NECCCM Tumeccm hawafanyi kazi kwa mjibu wa katiba na Sheria bali wanafanya kazi kwa mjibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
 
NECCCM Tumeccm wamepoteza sifa za kusimamia uchaguzi wanaandaa uchakachuaji na kuleta vurugu Nchini ni vyema mkurugenziccm wa Tumeccm afunguliwe kesi ICC kuepusha uvunjifu wa Amani
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani lakini CCM wanachukua pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi kuzitumia kudidimiza demokrasia kuwahujumu chadema kuua upinzani kuwabambikia kesi na uonevu unyanyasaji wa kila aina.Kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa mengi Duniani.
 
Mpaka uchaguzi uishe kuna watu suruali itabidi wakapunguzishe viuno maana washakonda kwa huyu kuimbe lisu
 
Hii ngoma ngumu huu mwaka,vibaraka wanashindwa wamlinde vp vambaya wao.imekula kwao kiujumla.ngoma inachezwa na wrote wabaya bila kujijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…