Mwenye mamlaka ya kuvunja , kukupa katiba mpya kama hayuko willing kufanya hivyo unafanya nini? kugoma kushiriki uchaguzi??Hatuwezi kulalamika kwamba NEC Sio huru kwa kuwa wateule wake wote wanateuliwa na Rais (mgombea wa CCM) WAKATI HUOHUO tumekubali kuingia na kuendelea na uchaguzi. Tunatarajia nini? Ruzuku labda.
Wapinzani baada ya Nov 2020 (CHADEMA au CCM) msikubali kamwe kuingia tena kwenye uchaguzi mwingine wowote na mhakikishe hii Tume inafutwa na kuundwa upya kwa matakwa yenu na ya walio wengi. Otherwise mtaendelea kuwa wapinzani daima dumu.
Hata huko kwingine ambapo Wapinzani waliingia Ikulu (Ghana, Malawi, Nigeria etc...), Tume zao ilibidi zivunjwe kwanza na kuundwa upya na hii haikuja tu kwenye silver plate.
Angalia kisije kikaganda Kwa baridi na kikaaza kupata kutu na kuanza kutoboka toboka.Ngoma imepata mchezaji, hiki chuma kinahitaji moto mkali kukiyeyusha.
Tatizo moto huo haupo
Kuna options. We may need to learn and copy what others did. Kama hatutaki na tumeamua kuingia kwenye chaguzi basi tusilielie sana. Ni bora kupiga kelele sana mapema (Bungeni..) kuliko sasa. It is late.Mwenye mamlaka ya kuvunja , kukupa katiba mpya kama hayuko willing kufanya hivyo unafanya nini? kugoma kushiriki uchaguzi??
Hajapokea barua ya wito.Kisheria lazima aende, aache kujifanya mwerevu wa kila jambo!
Hawakua na sababu za kumkata na kumkata Lissu bila sababu ni kunoa makali ya kisuHuyu bwana wanajilaumu kwa nini hawakumkata mapema!
Kwani wewe upo CCM ya zamani au CCM mpya? Mnatuchanganya sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acheni kulialia battle ndio inapamba moto, labda mniambie mlikuwa mnatania kabisa mnafikiri Chadema watashinda? Kwamba haumjui CCM ndio qwiji wa siasa za Tanzania chama chenye mikakati kuliko vyama vyote Africa?
JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Aliyeimba ile Singeli alikuwa anamaanisha sana. Tundu Lissu wapelekeeee...
Utakavyo amua wewe ila mimi yangu ni hii CCM ambayo mgombea wake ni JPM.Kwani wewe upo CCM ya zamani au CCM mpya? Mnatuchanganya sana.
Tatizo lipo.Wamkate tu, kwani kuna tatizo??
Huyo mwl wangu hana kitu kichwani nilipata shida sana kumuelewa darasani japo ni kweli alinifundisha!!Huyo mzee ambae hata kuongea hawezi, maneno yanashindwa kutoka mdomoni, inaonekana hata kiswahili hajui vizuri ndio wakumuhoji Lissu?.
Kama ni hivyo, wanasema hiyo ni CCM mpya. Slogan yao ni MATAGAUtakavyo amua wewe ila mimi yangu ni hii CCM ambayo mgombea wake ni JPM.
JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Barua itamfikia tu. Na nina uhakika akienda huko hatoweza kujibu maswali ya huyo mzee wa NEC. Maana anaonekana kuwa na hekima sana.
Tume wana lao jambo, hata msajili alipo ionya Chadema na act kuhusu ushirikiano walitoka hadharani kwenye vyombo vya habari na mitandaoni, walipoulizwa kuhusu TLP/UDP na CCM wakajitetea ati walimuita Mrema na kumuonya. Sasa swali ni je mbona wao TLP msajili hakuwaita kwa kutangaza kwenye vyombo vya habari na mitandaoni kama wanavofanya kwa Chadema na Lisu?Bado najiuliza, hivi tume walikuwa na haja ya kutangaza ile barua mitandaoni? Hii tume itatuharibia mambo mengi sana, toka wameengua wagombea wa upinzani kwa sababu za kizembe nimewapuuza..
Akahojiwe au akawahoji?? Kuna mtu kwemye hiyo timu ya wala rushwa ina uhalali wa kumhoji LISSU?
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika. Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.Mgombea Urais kupitia Chadema amesema hajapokea malalamiko yoyote kuhusiana na uchaguzi na hajapokea wito wowote wa kufika tume zaidi ya kusikia kwenye mitandao
Hivyo hawezi kuacha Kampeni kwa maneno ya mitandaoni
=====
=> Sijapokea malalamiko yoyote juu ya jambo lolote linalohusiana na kampeni za Uchaguzi Mkuu huu kutoka NEC. Sijapokea wito wowote kuhusu jambo lolote linalohusiana na kampeni za Uchaguzi Mkuu huu kutoka NEC. Sitarajii kuacha kampeni ili kuitikia wito wa mitandaoni wa mtu yeyote!
=> Mkurugenzi wa Uchaguzi huyu ni kada wa CCM, by his own admission. Na ni mteule wa Rais Magufuli, mgombea Urais kwenye Uchaguzi Mkuu huu. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Makamishna wote wa Tume ya Uchaguzi na Wasimamizi wa Uchaguzi wote ni wateule wa Magufuli. Huo uhuru uko wapi?
=> I've not received any complaint against my conduct of the election campaign from NEC. I've not received any summons from NEC on any matter concerning my conduct of the campaign. I don't intend to attend any purported hearing on any matter concerning my conduct of the campaign.
Hawamjui Lissu hawa!! Sasa subiri waone Kwa nini Kikwete alisema bora Slaa awe raisi kuliko Tundu Antiphas Lissu awe mbunge ππππ