Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Sijapokea wito kutoka Tume ya Uchaguzi. Sitarajii kuacha Kampeni kwa kuitikia wito kutoka mitandaoni


Mambo yamepamba moto. Ni mwendo washeria na siasa. Sasa huyu vyote anaviweza. Kamatia hapo na ongeza makali kidoo. - NI MWENDO WA KANYAGA TWENDE TU.
 
Kama ni hivyo, wanasema hiyo ni CCM mpya. Slogan yao ni MATAGA
Basi kama ndo kwa uelewa yako ndiyo hiyo hiyo naomba uipigie kura CCM ili iendelee kuliongoza Taifa hili na kuniletea maendeleo tunaomba kura yako na familia yako.


JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
 
Mi kwa ushauri wangu,neck wangeachana na lisu,ccm itashinda hamna haja ya kupanick,,kana kasema uongo atajijua mwenyewe,,kampeni za kisiasa duniani kote ziko hivyo,,waache wagombea wajinafasi,
Mahera aondoe wasiwasi tutashinda huu uchaguzi
 
Maana ya wito wa kisheria unamaanisha nini?. Je mpaka upokee summons au barua na usaini kwenye dispatch?. Kama ndo hivyo Lissu yuko sawa.
 
Majibu yako huku,

Uchaguzi 2020 - Tume imemwita Tundu Lissu, lakini haina mamlaka wala uwezo wa kumuadhibu

 
Nakuabaliana na wewe kwamba Chadema wanaweza kuogopa kuandamana baada ya uchaguzi.

Kumbe unajua wataogopa tu maana husemi na unajua wana haki. Asante

Majibu yako huku,

Uchaguzi 2020 - Tume imemwita Tundu Lissu, lakini haina mamlaka wala uwezo wa kumuadhibu


 
Hivi mnagombea Uraisi wa JMTZ au tls? Huyo Tundu Lisu anauwa chadema ni bora Mbowe na wachaga waingilie kati kuokoa chama chenu, mwenzenu anafikiri yuko darasani akibishana kuhusu sheria na vilaza wenzake, ...
 
Basi kama ndo kwa uelewa yako ndiyo hiyo hiyo naomba uipigie kura CCM ili iendelee kuliongoza Taifa hili na kuniletea maendeleo tunaomba kura yako na familia yako.


JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Mimi niko CCM ya zamani. Sifungaman na CCM mpya.
 
Kwa Mujibu wa Taarifa ya Dk. Wilson Mahera Tume ndiyo mlalamikaji na mlalamikiwa ni Tundu Lissu!

Sasa tujiulize,

1. Inawezekanaje Tume ilalamike, imuite inayemlalamikia na iamue kwa haki?

2. Kama Mheshimiwa Lissu akitoa ushahidi wake kwa Tume,nani atathibitisha ushahidi ule kuwa ni wa kweli?

3. Ikiwa ushahidi utabainika ni wa kweli,je Tume iko tayari kuwajibika kwa kujiuzulu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…