Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Sijapokea wito kutoka Tume ya Uchaguzi. Sitarajii kuacha Kampeni kwa kuitikia wito kutoka mitandaoni

Mbona jamaa anapata moto. Si aende huko akahojiwe na watu wenye hekima zao.

Wanahekima gani hadi mkurugenzi amejisahau anapiga kampeni at wananchi wanataka barabara sasa kama anajuwa wanachotaka wananchi kwanini asigombee nayeye aache kujivika ukurugenzi huku ni kada wa mbogamboga
 
Yuko sasa. Hawezi kufuata maelekezo ya wajinga mitandaoni.
 
Mgombea wa chama twawala mr phd anaweza kuandika hivi? Maana ni msomi zaidi ya Lissu akiwa amejikita katika maganda ya korosho
 
Bado najiuliza, hivi tume walikuwa na haja ya kutangaza ile barua mitandaoni? Hii tume itatuharibia mambo mengi sana, toka wameengua wagombea wa upinzani kwa sababu za kizembe nimewapuuza..
Tume yaonekana wameanza kucheza ngoma ya Lissu; ni kweli kama wamemwita ilikuwa kuna haja ya sisi kujua hayo yote? hayo ni mambo yao wenyewe kati ya Mgombea wao na Tume nyenyewe, maadili ni ya pande mbili, Sisi wananchi tulikuwa na umuhimu wa kujua kwamba wanamwita ? tukishajua then iweje ?

Hata hivyo barua za wito huwa kwa dispatch na mpaka yeye mwenyewe athibitishe kupokea kwa signature, sasa barua yenyewe imepotelea wapi? maana yeye anasema haijafika kwake.

Shughuli pevu!!
 
Huyu mtu ana nia ovu juu ya taifa letu,usalama wa taifa wako wapi,mbona huyu mchache sana
Hao usalama wenyewe wanapenda mtu anaeongea ukweli hakuna usalama ataemchukia lisu labda wale wanaopeana tu ila usalama wa kweli hupenda haki ,amani ,furaha
 
Lazima kuwe na sababu, i think ndio tunaelekea huko huko

ni swala muda tu
 
utakuja kuskia amezuiliwa siku 7 asifanye kampeni kwa kudharau wito wa tume
 
Kwamza kawatega tayari. Amesema hajapata sumonns. Tayari huu ni mtego wakimwandikia tu tayari wamejifunga wenyewe Mana summons siyo kazi ya NEC bali mahakama au polisi. Kwa hiyo wakimwandikia watakuwa wamejishtaki wenyewe na atawafunga. Pili wasipomuandikia haendi atasema hajapata wito wowote. Akili kubwa!!
 
Tii sheria bila shuruti bhwana
Kweli kabisa mkuu ila kwa utaratibu mahalim,sio kiolela, napenda Sana misimamo ya mh lissu ,Kuna Mambo mengi ya kujifunza kwake,kwamba simamia unachokiamini mpa mwisho wa dam yako,hakuna sababu ya kusubili kufa kwa malaria,kufa kwa Jambo ambalo taifa litakukumbuka na dunia,kufa kifo ambacho ukilala watanzania wanajua umepumzika sio unapumzika hata ndani ya kata yako hata jina halijulikani ,kataa hili kwa nguvu zote
 
Barua itamfikia tu. Na nina uhakika akienda huko hatoweza kujibu maswali ya huyo mzee wa NEC. Maana anaonekana kuwa na hekima sana.
[/QUOTE Vipara vingine havina busara, ni njaa tu au vinanyonyolewa na mizigo ya kichwani ya kila siku.
 
Kwa wenye Akili Tushatambua Rais ni Nani ....Tunachosubiri ni sherehehe na Gwaride Sijui itakuwa Dodoma Tulipoanzia Campeni Hahaha Raha Sana Kuwa CCM wakati Anaapishwa Mzee MAGU Wahuni CHADEMA watakuwa wanachezea Virungu na Maji ya Kuwasha wakisikilizia sauti kwa mbaaliiiii inasema ....MIMI JOHNE POMBE MAGUFULI NAAAPA.....KUILINDA NA KUIHESHIMU KATIBA YA TANZANIA

NAHISI LISSU HII HOTOBA ATAISIKILIZIA AKIWA LUMANDE HAHAHA ........
 
TUME in adui wa vyama vya upinzani hasa chadema,kwa tume hii hata chadema wakitapa kura 100%. na ccm 0%.bado mshindi in ccm

Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app
 
Narudia tena. Lisu ni mpango wa Mungu. Yale majereha ya septemba 7 2017 ni nyenzo iliyomkuta Isha Lisu na Amnesty international, European union, American Senetors, International Criminal Court pamoja na mabunge ya Ujerumani, Ubelgiji n.k. Majereha ndio yamempa access ya kuingia makubaliano na Robert & Amsterdan na yote hayo ndiyo yametoa nafuu ya Tundu Lisu kuweza kupinga kampeni mpaka kufikia hatua hii aliyopo. Hata hivi vitimbi vya NEC Mungu kesha vipatia majawabu. Kwa hiyo 2015 haikuwa wakati muafaka.
Vilevile ilibidi kuwepo na kitu cha kuchochea watu waunge mkono wimbi la kampeni za Lisu za 2020, kitu kimetengenezwa na hofu ya maisha na ugumu wa maisha ya watanzania yaliyowapata tangu 2016. 2020 ni muda muafaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…