Tundu Lissu, too late a hero!

Tundu Lissu, too late a hero!

Acha uongo sera za Chadema ni uchumi wa soko huria;
Sera ya majimbo (Ugatuzi);
Kupunguza bajeti ya recurring Exp.
Katiba mpya;
PPP kwenye miradi ya kimkakati;
Energy mix kuanzia umeme wa solar mpaka upepo kucomplement hydro na LNG;
Private Sector-driven economy.

Haya yote ndio sera za Chadema na yanaongelewa Kila mkutano. Fuatilia mikutano inayoendelea nyanda za juu kusini, Kanda ya kati, na huko kigoma sio unakata JF unajifanya unajua sana wakati hata vitabu vya sera za Chadema hamna.
Hujasema kitu mkuu, soko huria ni policy yetu muda sasa.
Mengine uliyogusia ni just details in a particular field.

Sera ya majimbo bado hamjaielezea kwa kina chake na mpangilio wa kisiasa.
 
47580.jpg
na wote wanaofikiri Magufuli alikuwa mtu mzuri. Muuaji mkubwa na wote wanaoamini alikuwa mzuri na kumtetea ni washenzi wakubwa! Msitoneshe vidonda vyetu, watu tumeteseka na kupoteza mengi kwasababu ya ushenzi wa huyo mtu halafu mnafanya masihara hapa, washenzi wakubwa!
Unaweza kutuambia alimuua nani? Tupe na ushahidi tafadhali
 
Nyie ndio mnaoshindwa kuelewa darasani na si ajabu umahiri wako kielimu ni mdogo sana.
Kwanza unashindwa kusoma na kuelewa kilichoandikwa
Pili , principle za kijinga kuwa kila asiyemhusudu Lissu basi ni mtu wa Magufuli.
It a stupid corellation.
Wengi wameshindwa maisha kwa kuishi bila kufikiri.

Mtafua hadi chupi za wapendwa wenu wa kisiasa.
Sikubaliani na hiii:-
"It a stupid coreliation" au ulimaanisha "It is a stupid correlation"?
Huenda uelewa wako wa lugha za watu ulikusababishia matatizo Hadi ukaamua kurejea kwenu! Pole Sana kwa Hilo, Ila usiitumie lugha ya watu kuandika humu kwani unaniaibisha Mimi!
 
Sikubaliani na hiii:-
"It a stupid coreliation" au ulimaanisha "It is a stupid correlation"?
Huenda uelewa wako wa lugha za watu ulikusababishia matatizo Hadi ukaamua kurejea kwenu! Pole Sana kwa Hilo, Ila usiitumie lugha ya watu kuandika humu kwani unaniaibisha Mimi!
Nimeandika kwa haraka nikiwa kwenye basi.
Lakini kwa akili yako umeelewa au la?
 
masopakyindi anataarifu Mh. Tundu Lissu karudi kimya kimya! Hapo hapo masopakyindi adai mapokezi yake kuwa LUKEWARM!

Naam, kuna kitu hakiko sawa kwa idadi kubwa ya Watanzania! CCM kwa hakika imeiharibu hii nchi kwa kiwango cha kutisha!

Ni Tanzania tu idadi kubwa ya watu wenye vyeti ndio hao hao wenye uelewa mdogo katika mambo ya kawaida kabisa.
 
OIP.3_5yolqYLIYvqZw-oF5O_gHaE8

Masikini Tundu Lissu, amerudi toka ughaibuni sasa.
Lakini si kishujaa!

Lalamiko lake la kwanza alipoonana na Mama Samia huko Ubelgiji, ilikuwa pesayake, mafao.
Ni kweli mlo hata kwa mwanasiasa ni muhimu, ataishije?
Mambo ya siasa yakawa secondary, hayakuwa na umuhimu sana kwake.

Mama Samia kaondoa fitna za kisiasa zilizoachwa na mtangulizi wake, Magufuli.
Sasa Mbowe yuko huru, Lissu karudi Bongo.

Lakini mapokezi ya Lissu yamekuwa ile wazungu wanasema , lukewarm, vuguvugu, na si motomoto.

Hilo Lissu hajui, nimatokeo ya mama Samia kukubalika kwa wananchi walio wengi, ukilinganisha na mwendazake.
Hivyo hata sababu za kumpinga mama wazi wazi hzionekani kuwa na maana sana.

Lissu( na CHADEMA) akubali asikubali, playing field imebadilika sana.

Sasa Lissu anazunguka mikoani akilia kama Yohana Mbatizaji.
Lakini yeye hana njia yoyote ya kuonyesha, njia nzuri kuliko ya CCM na mama Samia.

Na hilo ndo paradox.
Lissu kadoda, hana jipya.
Ile confrontational style yake haina tija kwake wala kwa siasa za Tanzania.
Namshauri akubali tu kuwa a political backbencher, asuburi aone upepo kwanza.

Kwa sasa hivi Lissu is irrelevant.
Nani kakwambia mama anakubalika? Anachofanya ni kuwahonga chadema wamuunge mkono 2025 huku akiwa anasaliti ccm kwa kutosa sera ya kujali umma na wanyonge ya ujamaa na kujitegemea.
 
masopakyindi anataarifu Mh. Tundu Lissu karudi kimya kimya! Hapo hapo masopakyindi adai mapokezi yake kuwa LUKEWARM!

Naam, kuna kitu hakiko sawa kwa idadi kubwa ya Watanzania! CCM kwa hakika imeiharibu hii nchi kwa kiwango cha kutisha!

Ni Tanzania tu idadi kubwa ya watu wenye vyeti ndio hao hao wenye uelewa mdogo katika mambo ya kawaida kabisa.
Jiridhishe na nyakati alizorudi Lissu.
Lukewarm aliporudi mara ya kwanza, halafu akatolomea zake bila kuaga.

Kimya kimya alivyorudi sasa hivi, hata hatujui karudi lini.
 
Gazeti la leo la Raia Mwema limekuja na taarifa nzito na ya kushitusha sana kwamba dhambi ya usaliti ni mbaya sana kwani Sasa baada ya kuwasaliti watanzania hatimae Tundu Lissu ametoswa na chama chake kutokana na kauli zake tata zinazoenda kinyume na maridhiano ya kulamba asali aliyoingia mwenyekiti Mbowe na Rais Samia.

Tundu Lissu amenukuliwa mara kadhaa kwenye mikutano yake ya hadhara akitoa kauli za kuwashangaa viongozi wenzake wa Chadema kwani wamekuwa wapole mno Kwa serikali licha ya ufisadi wa kutisha unaoendelea hapa nchini Kwa Sasa.

Tumelisema hili watu wanafikiri tunaota.
Lissu is irrelevant.
 
masopakyindi anataarifu Mh. Tundu Lissu karudi kimya kimya! Hapo hapo masopakyindi adai mapokezi yake kuwa LUKEWARM!

Naam, kuna kitu hakiko sawa kwa idadi kubwa ya Watanzania! CCM kwa hakika imeiharibu hii nchi kwa kiwango cha kutisha!

Ni Tanzania tu idadi kubwa ya watu wenye vyeti ndio hao hao wenye uelewa mdogo katika mambo ya kawaida kabisa.

..tatizo ni Lissu kuanza kukutana na wananchi.

..Lissu angepumzika nyumbani kwake usingesikia hizi kelele.

..kuna watu wana HOFU na elimu ya uraia anayoitoa Lissu huko anakopita.
 
Back
Top Bottom