Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wapeleke Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."
Mbona nyinyi watanganyika mumetuwala miaka 57 na amri zote zinatoka kwenu, lakini watu wakisema munalalamika?
 
Angekuwa anajua mengi asingeliwa anaropoka. Angekuwa anaongea pointi. Mfano, anasema tuna Rais Mzanzibar. Sawa. Yeye anapowaongelea Wmasai, yeye Lissu ni Mmasai?
We bado mtoto wa shule huna unalojua kuhusu hi nchi endelea kusoma silabi mwambatano,cheki mlivyo na roho mbaya,ubinafsi na ukabila, Lissu anamtetea yeyote anayeonewa,kwahiyo samia anawanyanyasa wamasai kwasababu siyo mmasai,basi kama ni hivyo hafai kuwa raisi hata kwa sekunde tumkatae kwa nguvu zote
 
"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wapeleke Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."

"Huyu rais Mzanzibari siyo Mtanganyika, hajazaliwa upande huu, miaka 60, huyu mzanzibari anaweza kutoka alikotoka akaja kuvuruga watu huku. Kusingekuwa na huo muungano asingefanya hivyo kwasababu asingekuwa rais wetu"

"Na siyo ngorongoro tu, sasa wanasema Longido yote, Monduli ya mbugani yote, ule upande wa kwenda Siha nyuma ya mlima Meru yote ile, Simanjiro yote mpaka huku minjingu na maeneo mengine ya wafugaji yote. Wanasema hivi, na haya maeneo wanapanga kuyafanya kuwa mapori tengefu na wakiyatenga kuwa maeneo tengefu maana yake wamasai wanafukuzwa kote"

"Mimi nimetembea nchi hii mwaka jana, kila mahali ni kilio cha ardhi, nchi hii kuna kilio kikubwa cha Ardhi nchi nzima na sababu ni moja, rais anaamuru watu wake mapolisi, DC, wanajeshi wahamishe wananchi"

Pia soma:
Lissu amesema ukweli mtupu. Sijui wamasai wamemkosea nini Rais Samia na serikali yake ya awamu ya 6.
 

Attachments

  • 20240430_173445.jpg
    20240430_173445.jpg
    249.5 KB · Views: 3
Jamaa hanaga mkopo huyo mnamalizana hapohapo mchana kweupe kama alivokuwa jiwe Magufuli.
Hawa watu JPM na Lissu wanafanana sana kiuzalendo. Ila Mbowe sina uhakika akipewa asali. Lissu anaweza kuungwa mkono na wengi akiacha kumkandia JPM kila siku na kuchukua nchi. Sababu jina la JPM linawakilisha Watanzania wengi maskini.
 
We bado mtoto wa shule huna unalojua kuhusu hi nchi endelea kusoma silabi mwambatano,cheki mlivyo na roho mbaya,ubinafsi na ukabila, Lissu anamtetea yeyote anayeonewa,kwahiyo samia anawanyanyasa wamasai kwasababu siyo mmasai,basi kama ni hivyo hafai kuwa raisi hata kwa sekunde tumkatae kwa nguvu zote
Ngoja mechi ya timu yangu kubwa ya Simba iishe nikujibu.
 
"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wapeleke Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."

"Huyu rais Mzanzibari siyo Mtanganyika, hajazaliwa upande huu, miaka 60, huyu mzanzibari anaweza kutoka alikotoka akaja kuvuruga watu huku. Kusingekuwa na huo muungano asingefanya hivyo kwasababu asingekuwa rais wetu"

"Na siyo ngorongoro tu, sasa wanasema Longido yote, Monduli ya mbugani yote, ule upande wa kwenda Siha nyuma ya mlima Meru yote ile, Simanjiro yote mpaka huku minjingu na maeneo mengine ya wafugaji yote. Wanasema hivi, na haya maeneo wanapanga kuyafanya kuwa mapori tengefu na wakiyatenga kuwa maeneo tengefu maana yake wamasai wanafukuzwa kote"

"Mimi nimetembea nchi hii mwaka jana, kila mahali ni kilio cha ardhi, nchi hii kuna kilio kikubwa cha Ardhi nchi nzima na sababu ni moja, rais anaamuru watu wake mapolisi, DC, wanajeshi wahamishe wananchi"

Pia soma:
Lissu katika ubora wake
 
* Police kutoa maelekezo juu ya maandamano kutumia upande mmoja wa barabara ni kawaida kwa kuwa CDM wameitisha maandamano ya AMANi
Sasa:-
Why atake shughuli zingine kusimama wkt waandamanaji wanatembea barabarani?

* Hoja kuwa Rais wetu ameuza mbuga za wanyama kwa kuwa ni Mzanzibari - huu ni uchochezi wa wazi

* Hoja ya kuwa Wamasaai wanaondolewa ktk ardhi yao haina msingi -
 
Back
Top Bottom