Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hujielewi.Ni vema ukajiita "Kabendera kafuata upepo"!* Police kutoa maelekezo juu ya maandamano kutumia upande mmoja wa barabara ni kawaida kwa kuwa CDM wameitisha maandamano ya AMANi
Sasa:-
Why atake shughuli zingine kusimama wkt waandamanaji wanatembea barabarani?
* Hoja kuwa Rais wetu ameuza mbuga za wanyama kwa kuwa ni Mzanzibari - huu ni uchochezi wa wazi
* Hoja ya kuwa Wamasaai wanaondolewa ktk ardhi yao haina msingi -