Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wapeleke Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."

"Huyu rais Mzanzibari siyo Mtanganyika, hajazaliwa upande huu, miaka 60, huyu mzanzibari anaweza kutoka alikotoka akaja kuvuruga watu huku. Kusingekuwa na huo muungano asingefanya hivyo kwasababu asingekuwa rais wetu"

"Na siyo ngorongoro tu, sasa wanasema Longido yote, Monduli ya mbugani yote, ule upande wa kwenda Siha nyuma ya mlima Meru yote ile, Simanjiro yote mpaka huku minjingu na maeneo mengine ya wafugaji yote. Wanasema hivi, na haya maeneo wanapanga kuyafanya kuwa mapori tengefu na wakiyatenga kuwa maeneo tengefu maana yake wamasai wanafukuzwa kote"

"Mimi nimetembea nchi hii mwaka jana, kila mahali ni kilio cha ardhi, nchi hii kuna kilio kikubwa cha Ardhi nchi nzima na sababu ni moja, rais anaamuru watu wake mapolisi, DC, wanajeshi wahamishe wananchi"

Pia soma:
BROO NDO MAANA KUMBE HAWAKUTAKI... HAPA ULIONESHA UBAGUZI KABISA BWANA MKUBWA. RAIS NI RAIS BILA KUJALI KATOKA UPANDE GANI WA MUUNGANO.
 
Asante kwa kuifukua hii..

Huyu jamaa hii speech iliwavuruga CCM mpaka baadhi wakawa wendawazimu...

Walitafuta weakness ya kisheria ili wamkamate na kumshitaki kwa uchochezi, hawakuona chochote bali kila alichokisema ni fact tupu...!
 
BROO NDO MAANA KUMBE HAWAKUTAKI... HAPA ULIONESHA UBAGUZI KABISA BWANA MKUBWA. RAIS NI RAIS BILA KUJALI KATOKA UPANDE GANI WA MUUNGANO.
Hujaelewa logic ya hiyo speech ya Tundu Lissu kwa sababu pengine akili na ufahamu wako ni sawa na wa mdudu panzi...

Context na muktadha wa speech ya mwamba huyu unajikita kuwaeleza na kuwafahamisha wananchi tatizo au madhaifu au ubovu wa huu unaoitwa "Muungano wa Tanganyika & Zanzibar..."

Muungano wetu maana yake ni nchi mbili zilizokubaliana kuungana ktk mambo fulanifulani tu..

Tanganyika na Zanzibar hazijaungana kwa mambo yote. Mojawapo ya mambo ambayo si ya muungano "u - Rais" au "uongozi wa nchi na serikali za nchi hizi mbili.."

Zanzibar nchi yao iko palepale...

Zanzibar wana serikali na mfumo wao wa kujitawala...

Tanganyika iko wapi? Kwanini Raia wa Zanzibar yeyote ana haki na uwezo wa kuja huku Tanganyika na kuwa kiongozi na hata kumiliki ardhi lakini haki hiyohiyo Mtanganyika hawezi kuipata huko Zanzibar kwa sababu anahesabiwa kuwa si Mzanzibari bali raia wa kigeni..??

Tumia akili yako vizuri kufikiri

Hebu pia Jiulize swali muhimu hili👇

Kwamba, inawezekana vipi raia wa nchi ya Zanzibar yenye wakazi (population) ya watu wasiofika hata 2,000,000 eti aje kututawala sisi Watanganyika tulio zaidi ya 64,000,000...?

Kama akili zako sio za panzi, hilo ☝🏻☝🏻wewe linakuingia akilini kweli...?

Sasa Je, sio kweli kuwa Muungano huu una kasoro na shida kubwa sana..?

Ndiyo maana Mzanzibari anaweza kutoka huko kwao na kuwa "Rais wa Tanganyika" na kisha kutumia weakness hii kuvuruga Watanganyika kama anavyofanya Bi Samia Samia Suluhu Hassan sasa...

Ameuza bandari zetu zote, mbuga zetu nyingi, mamilioni ya hekari za misitu yetu kwa waarabu kwa kuhongwa mapesa na hao wajomba zake ambayo anayapeleka kwao Zanzibar ili kuijenga nchi yake...

Wewe hulioni tatizo hili..?

Kama hulioni, basi wewe ni panzi tu asiye na akili wala ufahamu na ndiyo maana unaandika hoja zako kwa mwandiko wa herufi kubwa tupu...!!!
 
Hujaelewa logic ya hiyo speech ya Tundu Lissu kwa sababu pengine akili na ufahamu wako ni sawa na wa mdudu panzi...

Context na muktadha wa speech ya mwamba huyu unajikita kuwaeleza na kuwafahamisha wananchi tatizo au madhaifu au ubovu wa huu unaoitwa "Muungano wa Tanganyika & Zanzibar..."

Muungano wetu maana yake ni nchi mbili zilizokubaliana kuungana ktk mambo fulanifulani tu..

Tanganyika na Zanzibar hazijaungana kwa mambo yote. Mojawapo ya mambo si ya muungano "u - Rais" au "uongozi wa nchi hizi mbili.."

Jiulize swali muhimu hili👇

Kwamba, inawezekana vipi raia wa nchi ya Zanzibar yenye wakazi (population) ya watu wasiofika hata 2,000,000 eti aje kututawala sisi Watanganyika tulio zaidi ya 64,000,000...?

Kama akili zako sio za panzi, hilo ☝🏻☝🏻wewe linakuingia akilini kweli...?

Sasa Je, sio kweli kuwa Muungano huu una kasoro na shida kubwa sana..?

Ndiyo maana Mzanzibari anaweza kutoka huko kwao na kuwa "Rais wa Tanganyika" na kisha kutumia weakness hii kuvuruga Watanganyika kama anavyofanya Bi Samia Samia Suluhu Hassan sasa...

Ameuza bandari zetu zote, mbuga zetu nyingi, mamilioni ya hekari za misitu yetu kwa waarabu kwa kuhongwa mapesa na hao wajomba zake ambayo anayapeleka kwao Zanzibar ili kuijenga nchi yake...

Wewe hulioni tatizo hili..?

Kama hulioni, basi wewe ni panzi tu asiye na akili wala ufahamu na ndiyo maana unaandika hoja zako kwa mwandiko wa herufi kubwa tupu...!!!
Daaah Mkuu una hasira balaa....
 
Daaah Mkuu una hasira balaa....
Absolutely, Yes...

Huwa nachukia sana kwa mtu kama wewe kushindwa kuelewa jambo rahisi tu kama hili badala yake unatumia kutokujua kwako (ujinga) kueneza huo ujinga kwa wengine...

Watu wa namna hii don't deserve any respect from any wise man...

Kwa heri...
 
Absolutely, Yes...

Huwa nachukia sana kwa mtu kama wewe kushindwa kuelewa jambo rahisi tu kama hili badala yake unatumia kutokujua kwako (ujinga) kueneza huo ujinga kwa wengine...

Watu wa namna hii don't deserve any respect from any wise man...

Kwa heri...
Sawa Mkuu.. All The best..

But Kindly stay with this, "if you can't change the system then change your perception towards it" kinyume chake ni stress na ugonjwa wa moyo, ambavyo more likely vinaweza kukukabili Mkuu!!
 
"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wapeleke Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."

"Huyu rais Mzanzibari siyo Mtanganyika, hajazaliwa upande huu, miaka 60, huyu mzanzibari anaweza kutoka alikotoka akaja kuvuruga watu huku. Kusingekuwa na huo muungano asingefanya hivyo kwasababu asingekuwa rais wetu"

"Na siyo ngorongoro tu, sasa wanasema Longido yote, Monduli ya mbugani yote, ule upande wa kwenda Siha nyuma ya mlima Meru yote ile, Simanjiro yote mpaka huku minjingu na maeneo mengine ya wafugaji yote. Wanasema hivi, na haya maeneo wanapanga kuyafanya kuwa mapori tengefu na wakiyatenga kuwa maeneo tengefu maana yake wamasai wanafukuzwa kote"

"Mimi nimetembea nchi hii mwaka jana, kila mahali ni kilio cha ardhi, nchi hii kuna kilio kikubwa cha Ardhi nchi nzima na sababu ni moja, rais anaamuru watu wake mapolisi, DC, wanajeshi wahamishe wananchi"

Pia soma:
Laana hii, ya kumtukana jpm, kumtukana nyerere haiwezi kumuacha salama
 
Back
Top Bottom