Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

Kuiondoa CCM madarakani hatuhitaji vyema.imara, bali tunahitaji wananchi/wapiga kura imara wenye kujielewa na kuelewa ni nini wanahitaji kwa maslahi mapana ya taifa
Lakin nchi zote ambazo zina democracy kama USA wana vyama imara kama democracy na Republican. Unless otherwise tuwe na wagombea binafasi.Lakini vyama hivi tulivyonavyo, sidhani. Na CCM imechoka sana kwa sasa, ni kama ile ya 2010-2015, ya Kikwete.
 
Lakin nchi zote ambazo zina democracy kama USA wana vyama imara kama democracy na Republican. Unless otherwise tuwe na wagombea binafasi.Lakini vyama hivi tulivyonavyo, sidhani. Na CCM imechoka sana kwa sasa, ni kama ile ya 2010-2015, ya Kikwete.
Tatizo la Tz sio CCM au vyama vya siasa, bali ni watanzania wenyewe.
 
Hilo suala la Muungano ni la siku nyingi sana toka mzee Nyerere akiwa hai, zilishaundwa tume nyingi sana, kutafuta, suluhu. Miongoni mwa tume maarufu ni tume ya Nyalali. Hakuna hoja ambaye ni ya maana kuwa, ni kitu kipya.

CDM wanashindwa kuwashawishi, watanzania kwa kuwa ni chama kisichokuwa na milengo kamili. Na, mm pia ni naona kuwa bado hakina hoja za msingi kuiondoa CCM. Chama chenyewe kimekuwa chama cha makando kando. Mfano, mwenyekiti wa chama amekuwa wa kudumu. Je, utaweza vipi kukosoa huku ukiwa, ww huna democracy. Mwaka 2015 walimsimamisha marehemu Lowasa. Lakin tayari walishawadanganya watanzania kuwa, alikuwa fisadi.

Kwa upande wangu naamini watanzania tunahitaji vyama imara, na visivyohitaji maslahi zaidi ili kuiondoa CCM. ACT na CDM sio vyama vya kutusaidia.
hakuna taasisi isiyo na makosa ila ccmu ni kansa kwa nchi , ukiwa mbishi leo kesho mjukuu wako atakuja kukuhoji mlikuwa mnafanya nn kipind ccmu wanauza nchi

AMKA MKUU KUSHABIKIA CCMU NI ISHARA YA KUTOKUWA NA UZALENDO KWA NCHI , CCMU YA LEO SIO ILE YA ZAMANI
 
Tatizo la Tz sio CCM au vyama vya siasa, bali ni watanzania wenyewe.
watanzania bado ni wajinga na ccmu wanashindiria kuua elimu na kuwanyima watu exposure ya dunia kwa kuwanyima haki ya kuomba uraia na hata waliokaa nje muda mrefu , ccmu kupitia media za ndani wamejenga taswira kuwa waliokaa nje ni vibendera vya mataifa ya mabeberu
 
Hii nchi inawahitaji akina Tundu Lissu wengi ili kuwaamsha Watanganyika kudai haki za za msingi.
Zaidi yako wewe na Lissu nani mwingine anadai Tanganyika? Hiyo Lissu Kwanza mnafiki, mbona mwaka 2020 akiwa Mgombea Urais alienda kuomba kura Zanzibar? Si angegoma kwenda huko?
 
Kuiondoa CCM madarakani hatuhitaji vyema.imara, bali tunahitaji wananchi/wapiga kura imara wenye kujielewa na kuelewa ni nini wanahitaji kwa maslahi mapana ya taifa
Kuingoa CCM madarakani unahitaji, mikakati makini sana itayowaunganisha Watanzania wengi wapigie kura mbadala wa chama cha CCM. Mbadala ambao utakuwa tofauti. Wa kitaifa, utaopigania maslahi ya maskini na matajiri, makabila yote, dini zote, tabaka zote, kanda zote.

Kwa sasa bado hakuna chama chenye hiyo mikakati. Hivi vyama vina self- sabotaging themselves kwa misimamo yao kuhusu maskini, ukabila, udini, chuki binafsi, kupenda asali. Inabidi waweke hivyo vitu sawa.

Naamini Lissu, Dr Slaa, Aly Kessy, Mpina, Mwabukusi wanaungwa mkono na Watanzania wengi wenyewe kama individual kuliko vyama vyao. Wanaungwa mkono na walio na vyama na wasio na vyama, wanaungwa mkono na wengi kwenye vyama vyote.
 
Chao ni chao lakini chetu pia ni chao 😳😳😳

IMG-20240502-WA0052.jpg
 
Chao ni chao lakini chetu pia ni chao 😳😳😳

View attachment 2978835
Mimi ndiyo maana siku zote nashauri huu Muungano ufikie tu tamati. Haiwezekani huku Tanganyika Wazanzibari wamejaa kila kona na pia kwenye idara na taasisi zote za serikali. Na wameajiriwa pasipo kubaguliwa kwa sababu tu ya Uzanzibari wao!

Ila kwa Watanganyika, mambo ni tofauti kabisa kwenye ajira za Zanzibar! Hatuwezi kamwe Watanganyika kufurahia aina hii ya Muungano wa changu changu, chako changu. Kama vipi kila nchi ijitegemee kivyake.
 
Ili kupata wapiga kura imara, unatakakiwa kwanza upate vyama vya upinzani imara ili wapiga kura waviamini.
Hoja yako ina shida ya kimantiki, kwa mfano, katika nchi ambazo wagombea binafsi wanashinda uchaguzi, wananchi hutegemea vyama gani imara vya upinzani?
 
Hoja yako ina shida ya kimantiki, kwa mfano, katika nchi ambazo wagombea binafsi wanashinda uchaguzi, wananchi hutegemea vyama gani imara vya upinzani?
Wewe ndie una shida ya kimantiki.
Tumeongelea wapiga kura na vyama vya Tanzania.
Tanzania haijaruhusu mgombea binafsi.
 

Hili la Wabunge 50 kutoka Zanzibar yenye wapiga kura wasiozidi laki tano, Temeke wapiga kura 1.5M Wabunge 6 imewaliza Machozi Watanzania​

WABUNGE 80

50 PLUS 30 wa viti maalum, jumla 80.

Gharama ya kutunza wabunge 80, na ma landcruiser yao, na mishahara ya milioni 18 na posho za vikao na za masafari ya nje, na kiinua mgongo milioni 300, na kuwatibu India, tungeweza kumpa kila Mtanganyika school voucher ya kusomesha mtoto private school au kila Mtanganyika premium level Health Insurance, au tungeweza kujengea refinery ya mafuta ili tuwe tunanunua crude oil kwa bei ya kutupa, na kila kitu kingeshuka bei.

Watanganyika tuamke. Hatuhitaji serikali moja, Zanzibar haiwezi kukubali kuwa Mtwara, na hatutaki serikali tatu, hatuwezi magharama ya marais watatu, waziri mkuu watatu, VP watatu, mawaziri watakua mia 4, wabunge wa serikali tatu watakuwa 2,800. Laughing stock of the world.


Tuvunje Muungano.Unatugharimu.
 
hakuna taasisi isiyo na makosa ila ccmu ni kansa kwa nchi , ukiwa mbishi leo kesho mjukuu wako atakuja kukuhoji mlikuwa mnafanya nn kipind ccmu wanauza nchi

AMKA MKUU KUSHABIKIA CCMU NI ISHARA YA KUTOKUWA NA UZALENDO KWA NCHI , CCMU YA LEO SIO ILE YA ZAMANI
Kwa hiyo ww unashabikia CDM.?? Mwambie Mbowe kwanza, chama kiwe na democracy. Haiwezekani awe mwenyekiti wa kudumu. Ukitaka kuwa msafi anzia chumbani kwako.

Unatangaza usafi kwa, wengine ww ukiwa, mchafu. Je huo ndio uzalendo? Watanzania wana, akili, sio wajinga. Vyama vya, watu binafsi sio rahisi kuiongoa CCM.
 
Watanzania tunadanganywa sana. Bandari haina tatizo, tatizo



Fafanua
Angalia wazee wa EAC hawajalipwa hela zao mpaka sasa, ila wanaogopa kutoka hadharani kudai mafao yao kisa hawataki kuochafua CCM.

Walimu life lao gumu, ila ndio hao wanaoisaidia CCM kuiba kura. Hii inaenda kwa askari, vijana walioamua kuwa chawa etc
 
Hilo suala la Muungano ni la siku nyingi sana toka mzee Nyerere akiwa hai, zilishaundwa tume nyingi sana, kutafuta, suluhu. Miongoni mwa tume maarufu ni tume ya Nyalali. Hakuna hoja ambaye ni ya maana kuwa, ni kitu kipya.

CDM wanashindwa kuwashawishi, watanzania kwa kuwa ni chama kisichokuwa na milengo kamili. Na, mm pia ni naona kuwa bado hakina hoja za msingi kuiondoa CCM. Chama chenyewe kimekuwa chama cha makando kando. Mfano, mwenyekiti wa chama amekuwa wa kudumu. Je, utaweza vipi kukosoa huku ukiwa, ww huna democracy. Mwaka 2015 walimsimamisha marehemu Lowasa. Lakin tayari walishawadanganya watanzania kuwa, alikuwa fisadi.

Kwa upande wangu naamini watanzania tunahitaji vyama imara, na visivyohitaji maslahi zaidi ili kuiondoa CCM. ACT na CDM sio vyama vya kutusaidia.
Tafadhali mkuu! TANZANIA AIHITAJI CHAMA IMARA ILI IWE IMARA BALI INAHITAJI KATIBA BORA ILI IWE IMARA.

Kila anaefuja mali ya Tanganyika awajibike mahakamani akiwemo rais. Hatutaki habari za CAG Anaongea madudu yao alafu katiba haina meno.

Tafadhali sana mkuu hebu tuombe radhi watanganyika wenye mapenzi na nchi yetu iliyopotea.
 
Back
Top Bottom