bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Mbona nyinyi watanganyika mumetuwala miaka 57 na amri zote zinatoka kwenu, lakini watu wakisema munalalamika?"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wapeleke Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."
We bado mtoto wa shule huna unalojua kuhusu hi nchi endelea kusoma silabi mwambatano,cheki mlivyo na roho mbaya,ubinafsi na ukabila, Lissu anamtetea yeyote anayeonewa,kwahiyo samia anawanyanyasa wamasai kwasababu siyo mmasai,basi kama ni hivyo hafai kuwa raisi hata kwa sekunde tumkatae kwa nguvu zoteAngekuwa anajua mengi asingeliwa anaropoka. Angekuwa anaongea pointi. Mfano, anasema tuna Rais Mzanzibar. Sawa. Yeye anapowaongelea Wmasai, yeye Lissu ni Mmasai?
Hakuna Mtanganyika dunia hii.Lissu ni Mtanganyika kama walivyo hao Wamasai.
Muulize babaako atakuelewesha.Huu ndo umeandika Usenge gani sasa?
Hakuna kitu kama hicho.Kweli wewe ni Mtoto wa shule, kuna jamii mbili ndani ya Muungano , nao ni wa Znz na Watanganyika
Lissu amesema ukweli mtupu. Sijui wamasai wamemkosea nini Rais Samia na serikali yake ya awamu ya 6."Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wapeleke Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."
"Huyu rais Mzanzibari siyo Mtanganyika, hajazaliwa upande huu, miaka 60, huyu mzanzibari anaweza kutoka alikotoka akaja kuvuruga watu huku. Kusingekuwa na huo muungano asingefanya hivyo kwasababu asingekuwa rais wetu"
"Na siyo ngorongoro tu, sasa wanasema Longido yote, Monduli ya mbugani yote, ule upande wa kwenda Siha nyuma ya mlima Meru yote ile, Simanjiro yote mpaka huku minjingu na maeneo mengine ya wafugaji yote. Wanasema hivi, na haya maeneo wanapanga kuyafanya kuwa mapori tengefu na wakiyatenga kuwa maeneo tengefu maana yake wamasai wanafukuzwa kote"
"Mimi nimetembea nchi hii mwaka jana, kila mahali ni kilio cha ardhi, nchi hii kuna kilio kikubwa cha Ardhi nchi nzima na sababu ni moja, rais anaamuru watu wake mapolisi, DC, wanajeshi wahamishe wananchi"
Pia soma:
Unataka kila kabila lijitetee kivyake?Angekuwa anajua mengi asingeliwa anaropoka. Angekuwa anaongea pointi. Mfano, anasema tuna Rais Mzanzibar. Sawa. Yeye anapowaongelea Wmasai, yeye Lissu ni Mmasai?
mnataka tuvunje wosia wa baba wa taifa?Pole sana
Muna mumeMbona nyinyi watanganyika mumetuwala miaka 57 na amri zote zinatoka kwenu, lakini watu wakisema munalalamika?
Kuna mzanzibariHakuna Mtanganyika dunia hii.
Hawa watu JPM na Lissu wanafanana sana kiuzalendo. Ila Mbowe sina uhakika akipewa asali. Lissu anaweza kuungwa mkono na wengi akiacha kumkandia JPM kila siku na kuchukua nchi. Sababu jina la JPM linawakilisha Watanzania wengi maskini.Jamaa hanaga mkopo huyo mnamalizana hapohapo mchana kweupe kama alivokuwa jiwe Magufuli.
Mtoto wa shule.Angekuwa anajua mengi asingeliwa anaropoka. Angekuwa anaongea pointi. Mfano, anasema tuna Rais Mzanzibar. Sawa. Yeye anapowaongelea Wmasai, yeye Lissu ni Mmasai?
Ngoja mechi ya timu yangu kubwa ya Simba iishe nikujibu.We bado mtoto wa shule huna unalojua kuhusu hi nchi endelea kusoma silabi mwambatano,cheki mlivyo na roho mbaya,ubinafsi na ukabila, Lissu anamtetea yeyote anayeonewa,kwahiyo samia anawanyanyasa wamasai kwasababu siyo mmasai,basi kama ni hivyo hafai kuwa raisi hata kwa sekunde tumkatae kwa nguvu zote
Yeye Mungu? Unatishika na maneno ya mtu kama wewe!Sisi watanganyika, wao wazanzibar, kumbe kwa wazanzibar kuna wapemba na waunguja, dhambi ya kutenga watanzania mkiishaitenda ni sawasawa na kula nyama ya mtu
Tumia akili zako vizuri kwa uhuru ungali hai.Muulize babaako atakuelewesha.
Ahahahahaha! Tatizo la bongolala kama wewe kuamini wewe uko sahihi ila wengine hawako sahihi. Ahahahahaha!!Tumia akili zako vizuri kwa uhuru ungali hai.
Lissu katika ubora wake"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wapeleke Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."
"Huyu rais Mzanzibari siyo Mtanganyika, hajazaliwa upande huu, miaka 60, huyu mzanzibari anaweza kutoka alikotoka akaja kuvuruga watu huku. Kusingekuwa na huo muungano asingefanya hivyo kwasababu asingekuwa rais wetu"
"Na siyo ngorongoro tu, sasa wanasema Longido yote, Monduli ya mbugani yote, ule upande wa kwenda Siha nyuma ya mlima Meru yote ile, Simanjiro yote mpaka huku minjingu na maeneo mengine ya wafugaji yote. Wanasema hivi, na haya maeneo wanapanga kuyafanya kuwa mapori tengefu na wakiyatenga kuwa maeneo tengefu maana yake wamasai wanafukuzwa kote"
"Mimi nimetembea nchi hii mwaka jana, kila mahali ni kilio cha ardhi, nchi hii kuna kilio kikubwa cha Ardhi nchi nzima na sababu ni moja, rais anaamuru watu wake mapolisi, DC, wanajeshi wahamishe wananchi"
Pia soma: