Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Salaam ziwafikie wote walio furahia kushambuliwa kwa mh Lissu.
Unadhani amefanya hivyo kwa kupenda ? Subirini na nyie mtakapokuwa wapinzani mtaelewa !

Hata mzee makamba aliuelewa ubatizo wa moto baadae Sana.
 
Jamani jamani kama kuna corona kiasi hicho Lissu si angeanza kuvaa barakoa kuanzia siku alipofika hadi alipohudhulia mkutano mkuu wa kumteua kuwa mgombea urais daah.
Jiulize tu...mbona bado wanaendelea kukusanyana?
 
Unajua madhara ya yeye kutoa kauli ile kiuchumi. Hatuwezi kuipigania upinzani kwa kubomoa misingi ya nchi. Hili hapana.

Je haya malalamiko yako umemnukuu vizuri alichosema? Isije ikawa unaleta maelezo yako kwa uelewa wako na maneno uliyobeba humu mitandaoni. Kama kweli kasema hiki unacholalamikia ni kweli atakuwa hakufanya sawa, kwani angeweza kutoa jibu ambalo halina madhara kwa nchi.

Ninadhani katika hilo hata vyombo vya habari vya humu ndani haviko huru, ndio maana toka amefika hapa nchini hakuna chombo chochote cha habari kimemuhoji, kibaya zaidi kila akiongea sauti yake inakatwa. Sasa kama vyombo vya habari vinakuwa biased, acha wengine wamuhoji, na yeye atakachofanya ni kuchomoa battery.
 

Mbona ume - upload video ambayo ni irrelevant na maudhui ya mada?

Please, Fanya marekebisho ikibidi iondoe kabisa hii
 
Best loser anajipya gani? Huyu lissu ni mfa maji,hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zote
Kama ni mfa maji, mbona wewe mleta Post ,unatapatapa?
 
Kutokuvaa kwao barakoa hakuuzuii Ukweli kuwa Corona bado ipo! Tuache kuwa wajinga kupindukia.
 
Namfuatilia kwa karibu sana Lissu, kwa hoja zake, hulka zake, na matamshi yake. Huwa namfuatilia kwenye YouTube Lissu kabla na baada ya kupata misukosuko nawaona ni watu wawili tofauti sana.

Yule wa mwanzo alikuwa mwenye subira na mtulivu na aliyeweza kujenga hoja za kushawishi na si mwepesi wa kupanic na kupoteza focus.

Huyu wa sasa amepata tabia za kuropoka na kukosa subira, na asiyekuwa makini katika kuhakikisha havunji sheria kwa makusudi.

Nafahamu majanga makubwa yaliyompata ndugu yetu, na nampa pole sana na tunamshukuru Mungu kwa kumuokoa ndugu yetu Lissu.

Wasiwasi wangu. Je mgombea wetu Lissu ana utimamu wa akili baada ya kupitia hii misukosuko? Maana hili ni takwa la kikatiba...


Wajumbe oyee
 
Lissu anajua anachosema, Sidhani kwa nafasi yake anaweza kuongea tu alimradi ameongea, Ana ushahidi wa anachoongea, kumbuka Lissu ni kiongozi anaetafuta ridhaa ya raia kuongoza nchi, Inawezekanaje adanganye na anajua walio upande mwingine wanasubiri akosee kidogo tu wamshambulie kisiasa?
 
tatizo Tundu Lisu ni muongo sana mpaka yeye mwenyewe anajichanganya. Hili ni janga kwa taifa viongozi wengi wa upinzani wanaishi kwa siasa za matukio na maigizo.
 
Hivi mabilioni ya pesa yaliyochangwa na watu mbalimbali zimefanya nini???

Hii serikali kwa kula michango na rambirambi haichoki......

Takukuru ni wepesi kuchunguza michango ya chadema lkn hawatachunguza huu ufisadi wa ccm na serikali yake
 
Huyu Lissu kila siku ana kosa kubwa la kwanza. Kesho asubuhi hatakua na kosa lolote.


Mfunzeni mdomo wake uwe tofauti na msiempenda.

Maana yeye kila kitu lazima akitolee povu. 🙏
 
U
Kutokuvaa kwao barakoa hakuuzuii Ukweli kuwa Corona bado ipo! Tuache kuwa wajinga kupindukia.
Wajinga ni nani hapa!? Nyie mnaoamini Kuna Korona na bado mnalundika na kuandamana au hawa wanaoamini hakuna Korona na maisha yanaendelea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…