Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

ndio maana mnakufa kwa ukimwi kwa maana hata condom kuvaa pia ni shida...tutakufa kama kuku
 

Ameongea ukweli, na ukweli mtupu.
 
Acheni sound. Huenda ipo ila sio kwa kiwango mnachotaka kuwa aminisha wakenya. Endeleeni kuwa na ajenda moja na wakenya siku moja mtayaona majibu ya watanzania
 
Safari hii mmekwisha , Wanafiki wakubwa nyie !
 
Kwa hiyo kesho akifa kwa corona, Tanzania ndo basi tena siyo?
Mkuu watakuwepo, Ila si huyo anayehubiri uwepo wa Corona nchini na vifo viingi Sana,

Kila mtu ana kipaji chake, huyu mwenzetu, Mungu kampa kipaji cha uongeaji usio na mpangilio bila kujali lipi linafaa kusemwa Kwa Wakati gani na lipi Kwa muda upi,

Watanzania tumepata mgombea Uraisi wa ajabu Kwa mara ya Kwanza tangu uhuru wa nchi yetu

Huyu ni wa kupingwa na kila mtu mwenye akiri timamu
 
Safari hii mmekwisha , Wanafiki wakubwa nyie !
Mmekwisha ninyi mkuu,CCM chama dola,tutawanyoa kwa chupa mwaka huu na huyo mgonjwa wenu atawakimbieni tena,

Urais sio matako kwa kila mtu lazima awe nayo liambieni dubwana lenu limekwama
 
Kwa hiyo na wewe umejitoa ufahamu kwamba Tanzania hakuna corona na hakuna wanaokufa si ndiyo?
 
anatatizo kubwa na kisaikolojia ambalo huwapata watu wa aina kama yake kibaya zaidi hata watu wake wa karb hawamwambii....

fikria tu kesho tuamke tunarais anaitwa tl.. unadhani nn kitatokea???
Haiwezi tokea, kwahiyo sitaki nichoshe akili yangu kifikiria
 
Mmekwisha ninyi mkuu,CCM chama dola,tutawanyoa kwa chupa mwaka huu na huyo mgonjwa wenu atawakimbieni tena,

Urais sio matako kwa kila mtu lazima awe nayo liambieni dubwana lenu limekwama
Kila siku siyo Jumapili
 
Mkuu hadi Sasa nimejilock down, I work from home, mjini nakuja tu nikiwa nashida na bank hasa hasa stanbic masaki
Baki huko huko hadi who wakutangazie kuwa Corona imeisha
 
Sasa Kama haipo tunajihadhari nayo kwa kipi? Hata hivyo issue yangu haikuwa corona bali mtu anajejifanya kwamba bila yeye hakuna Tanzania
Hapo alijilinganisha na wagombea wengine
 
Petty issue_Maendeleo is increased productivity ya watu, universal and improved health systems,Quality and inclusive education system and not petty issue like taa za barabarani au kununua ndege kwa keshi
Kwani kwenye hivyo ulivyotaja wewe kipi hakifanyiwi ongezeko la uzalishaji
 
Kutokuvaa kwao barakoa hakuuzuii Ukweli kuwa Corona bado ipo! Tuache kuwa wajinga kupindukia.
Naona umekubali kimya kimya kwamba korona ni ugonjwa wa kawaida tu inabidi tuzoee kuishi nao.
 
Hiki kweli kizazi cha nyoka!
TL sio mjinga kama wajinga unaowafahamu na unaowaelewa wewe!
TL nyeupe nyeupe, hawezisema nyeusi wakati ni nyeupe. Heri akose hiyo kura yako kwa kukataa kusema uwongo lakini atapata kura za watu kama sisi tusiopenda uwongo hata kama tutakuwa 100 tu!
 
Ndio ivyo, akili imeshamruka, kutoka nusu kifo sio mchezo mzee nati haziwezi kuwa sawa Kama Mwanzo. Lissu is going insane. Sio Jambo zuri kumtokea binadamu lakini huo ndio ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…