Kilawo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 1,631
- 2,778
kweli wewe M@Magonjwa Mtambuka mara hii umesahauLini na wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli wewe M@Magonjwa Mtambuka mara hii umesahauLini na wapi?
Best Loser anajipya gani? Huyu Lissu ni mfa maji, hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zoteView attachment 1528738
Vyombo vya habari vya Tanzania endeleeni kumtukuza mtu mmoja , mtavuna mnachopanda
Na safari hii tunaingia BarabaraniLini na wapi?
Jibu swali.kweli wewe M@Magonjwa Mtambuka mara hii umesahau
KTN inapatikana kwenye ving'amuzi vya Kibongo tena inapatikana bure kabisa , na hii ndio ilikuwa tegemeo baada ya kuziondoa zile local channel kwa sababu za kijingaWakenya watampigia kura. Duh.
Wanaogopa kutekwa au kufungiwa biashara zao. Ubaguzi sio mzuri hata kidogo. Watu wanaogopa kumbuka kilichomkuta Manji, mpaka akaamua kufunga biashara zake.Yani kweli media za ndani zimeamua kusaliti upinzani kweli kabisa kweli haya bwana siku hazigandi.
Nafikiri Tundu awe mpole. Wafanye siasa kistaarabu tuu. Ukila na kipofu usimshike mkonoAsavali. Media za huko hawana mambo za kukata kata speech za watu. Acha ateme cheche vizuri
basi haya .Best loser anajipya gani? Huyu lissu ni mfa maji,hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zote
Na siyo media tu Hadi wasanii wa bongofleva wamesnitch .Yani kweli media za ndani zimeamua kusaliti upinzani kweli kabisa kweli haya bwana siku hazigandi.
Hoja za Lissu ni kuhakikisha Wapiga dili wanakwamisha Mipango yetu ambayo mpaka saizi wamekwama.
Mfano Mtu unajikweza kwa Wakenya waliorubuni ndege za EAC ambazo ni za Watz na wana EAC si lazima unatambulika kwamba upapeti wako ni wa namna vipi 😀😀😀😀😀😀
Tusubiri oktoba.KTN inapatikana kwenye ving'amuzi vya Kibongo tena inapatikana bure kabisa , na hii ndio ilikuwa tegemeo baada ya kuziondoa zile local channel kwa sababu za kijinga
Walimsaidia matibabu. Watamsaidia mawazo.Wakenya watampigia kura. Duh.
Nimesikia Mgombea wa CDM akisema asiposhinda atawahamasisha wafuwsi wake waingie barabarani, kama hivyo ndivyo ni waingie barabarani wafyatuliwe kuliko huyo kikabaraka wa mabeberu kuwab Rais wa nchi.Unadhani amefanya hivyo kwa kupenda ? Subirini na nyie mtakapokuwa wapinzani mtaelewa !
Hata mzee makamba aliuelewa ubatizo wa moto baadae Sana.
Kuna mbwa wenzio pale lumumba wanasema hataambulia chochote. Wewe umeboresha kidogo. Bashiru naye kasema watashinda viti vingi.Best loser anajipya gani? Huyu lissu ni mfa maji,hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zote
Oktoba sio mbali.Walimsaidia matibabu. Watamsaidia mawazo.
We unawaza kura tu kama lile jibwa la burigi.
MWACHENI AENDELEE KUROPOKEA HUKO KICHAA CHAKE HAKIJAPONAView attachment 1528738
Vyombo vya habari vya Tanzania endeleeni kumtukuza mtu mmoja , mtavuna mnachopanda
wataficha sura zao kwa miaka 5 tena ndiyo waje waanze kubweka hovyoOktoba sio mbali.
TBCCM wanamuogopa Nduli makufuli kurusha, sasa unataka afanyeje?Wakenya watampigia kura. Duh.
Lissu anaongea na dunia nzima sio Tanzania tuTehetehe acha ahutubie wakenya,kura wanapiga watanzania
Hata lowassa alidiriki kuvuka mpaka na kuongea na wakenya
Nafurahi lissu anajivuruga mapema tunapa pointi za kumpiga nazo