Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
CHADEMA punguzeni papara na haraka zisizo na msingi wakati mnaandaa mikakati yenu mnawapa CCM hoja za kuwaonesha wananchi ninyi hamuitakii mema Tanzania na mnajali maslahi yenu tu na ya nchi jirani.
Unapokwenda kwenye vyombo vya habari vya nje ukasema watu wengi wanakufa kwa COVID-19 nchini kwako unasababisha kudorora kwa uchumi wa nchi yako kupitia sekta ya ANGA na UTALII.
Tumeona ile video jirani wanalialia watalii wote wa EAC sasa wanaenda Tanzania. Jamaa kwa kauli kama zile kwa lugha ile ya watalii (kiingereza)amerudisha juhudi za nchi yake nyuma kwa hatua 100.
Lissu ametumika na adui bila kujijua, ametekeleza na kupenyeza agenda ya adui kuidhuru nchi yake ambayo anaomba kuwa kiongozi mkuu wa hiyo nchi.
Leo Lissu 'katoa boko', mlitakiwa mumuandae mtangazaji wa KTN kwamba mnaomba msimuulize maswali Lissu kuhusu hiki na hiki.
Ni mawazo tu ya mtu mwenye njaa mtaani, kama vipi yapuuzieni muendelee na mtindo wenu huu wa kufanya vitu kwa kujibu mapigo bila kujipanga.
Ndugu Humprey Polepole tumieni vizuri hili boko alilotoa Lissu. Usaliti kwa nchi yako hautakiwi kwa gharama yoyote ile.
Nimesema hapa Lissu hafai kuwa raisi hata kwa mwezi mmoja tu na papara zake na mihemko.
TAFSIRI KWA WAZEE WETU: 'Kutoa boko' ni kufanya kitendo ambacho kina igharimu vibaya timu yako.
Unapokwenda kwenye vyombo vya habari vya nje ukasema watu wengi wanakufa kwa COVID-19 nchini kwako unasababisha kudorora kwa uchumi wa nchi yako kupitia sekta ya ANGA na UTALII.
Tumeona ile video jirani wanalialia watalii wote wa EAC sasa wanaenda Tanzania. Jamaa kwa kauli kama zile kwa lugha ile ya watalii (kiingereza)amerudisha juhudi za nchi yake nyuma kwa hatua 100.
Lissu ametumika na adui bila kujijua, ametekeleza na kupenyeza agenda ya adui kuidhuru nchi yake ambayo anaomba kuwa kiongozi mkuu wa hiyo nchi.
Leo Lissu 'katoa boko', mlitakiwa mumuandae mtangazaji wa KTN kwamba mnaomba msimuulize maswali Lissu kuhusu hiki na hiki.
Ni mawazo tu ya mtu mwenye njaa mtaani, kama vipi yapuuzieni muendelee na mtindo wenu huu wa kufanya vitu kwa kujibu mapigo bila kujipanga.
Ndugu Humprey Polepole tumieni vizuri hili boko alilotoa Lissu. Usaliti kwa nchi yako hautakiwi kwa gharama yoyote ile.
Nimesema hapa Lissu hafai kuwa raisi hata kwa mwezi mmoja tu na papara zake na mihemko.
TAFSIRI KWA WAZEE WETU: 'Kutoa boko' ni kufanya kitendo ambacho kina igharimu vibaya timu yako.