Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

hawa watu ameshindwa kuwafungulia kesi na kuwapeleka mahakamani ataweza kushindana nao kwenye uchaguzi kweli
anadhani hao watu hata akishinda uchaguzi watamtangaza mshindi
naona ameshakiri kwamba maadui zake wana nguvu kushinda yeye
 
CHADEMA punguzeni papara na haraka zisizo na msingi wakati mnaandaa mikakati yenu mnawapa CCM hoja za kuwaonesha wananchi ninyi hamuitakii mema Tanzania na mnajali maslahi yenu tu na ya nchi jirani.

Unapokwenda kwenye vyombo vya habari vya nje ukasema watu wengi wanakufa kwa COVID-19 nchini kwako unasababisha kudorora kwa uchumi wa nchi yako kupitia sekta ya ANGA na UTALII.

Tumeona ile video jirani wanalialia watalii wote wa EAC sasa wanaenda Tanzania. Jamaa kwa kauli kama zile kwa lugha ile ya watalii (kiingereza)amerudisha juhudi za nchi yake nyuma kwa hatua 100.

Lissu ametumika na adui bila kujijua, ametekeleza na kupenyeza agenda ya adui kuidhuru nchi yake ambayo anaomba kuwa kiongozi mkuu wa hiyo nchi.

Leo Lissu 'katoa boko', mlitakiwa mumuandae mtangazi wa KTN kwamba mnaomba msimuulize maswali Lissu kuhusu hiki na hiki.

Ni mawazo tu ya mtu mwenye njaa mtaani, kama vipi yapuuzieni muendelee na mtindo wenu huu wa kufanya vitu kwa kujibu mapigo bila kujipanga.

Ndugu Humprey Polepole tumieni vizuri hili boko alilotoa Lissu. Usaliti kwa nchi yako hautakiwi kwa gharama yoyote ile.
Nimesema hapa Lissu hafai kuwa raisi hata kwa mwezi mmoja tu na papara zake na mihemko.

TAFSIRI KWA WAZEE WETU: 'Kutoa boko' ni kufanya kitendo ambacho kina igharimu vibaya timu yako.
Hao wataliii wanaokuja wanatokea nchi zenye korona kwa 120 %,

Logical thinking, nchi yenye corona free inashangilia kupokea wataliii kutoka nchi yenye corona???
 
Swali fikiri je corona bado ipo?
Wewe umemuona akivaa barakoa kwenye mkutano wowote.

Kuna ndugu yake wa karibu kaondoka kwa Corona.

Hao wanopiga kelele kuwa ipo mbona Bado wapo wote na hakuna aliyeondoka kwa Corona??
 
Hoja za Lissu ni kuhakikisha Wapiga dili wanakwamisha Mipango yetu ambayo mpaka saizi wamekwama.

Mfano Mtu unajikweza kwa Wakenya waliorubuni ndege za EAC ambazo ni za Watz na wana EAC si lazima unatambulika kwamba upapeti wako ni wa namna vipi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna watu mna mawazo ya kizamani! Hivi shule mlienda kujifunza ujinga?
 
Best loser anajipya gani? Huyu lissu ni mfa maji,hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zote
Kuna mtu anasema amenunua ndege kwa keshi na haoni mtanzania mwingine anaweza kufanya hivyo,Sasa sijui kesho corona ikimchukua ndo utakuwa mwisho wa nchi hii? Kwa kweli kuwa uyaone
 
Yani kweli media za ndani zimeamua kusaliti upinzani kweli kabisa kweli haya bwana siku hazigandi.
Sasa kama kashindwa kufanyia Tz nan asafir kutoa taarifa? Wacha atumike kwa mabeberu watampigia kura huko huko
 
Hao wataliii wanaokuja wanatokea nchi zenye korona kwa 120 %,

Logical thinking, nchi yenye corona free inashangilia kupokea wataliii kutoka nchi yenye corona???
Tusubiri logic ya wapiga kura Oktoba 28, 2020.
 
Kuna mtu anasema amenunua ndege kwa keshi na haoni mtanzania mwingine anaweza kufanya hivyo,Sasa sijui kesho corona ikimchukua ndo utakuwa mwisho wa nchi hii? Kwa kweli kuwa uyaone
Umeambiwa corona haipo ila jihadhari na corona inauwa kwa muda mfupi
 
Back
Top Bottom