Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Mkuu wewe na mimi tuanaujua ukweli kuhusu corona, tuachie hapo mkuu.
Kwa hivyo kama ndiyo vile basi maisha lazima yaendelee kwenye sekta za kiuchumi.
 
Kumbe Nini?
Petty issue_Maendeleo is increased productivity ya watu, universal and improved health systems,Quality and inclusive education system and not petty issue like taa za barabarani au kununua ndege kwa keshi
 
Kwahiyo wewe unakaa unafuata anayokueleza Magufuli kuhusu Corona? Utakuwa mwenda wazimu kuamini hivyo!
 
Yaani kweli media za ndani zimeamua kusaliti upinzani kweli kabisa kweli haya bwana siku hazigandi.
Hata mim ningekua nna milik kituo..marufuku kushabikia chama ambacho sio tawala

Yaan watoto wangu na mkewangu walale njaa kisa wananchi...am soo fucki.n selfish
 
Ni mpumbavu pekee anaweza kusema USA wameendelea wana taa hadi barabarani ila ziliwa tz siyo maendeleo.
Kama wewe si mwanaccm, huwezi ukasema U.S. wameendelea kwa kuwa wanataa za barabarani au wana fly overs.Hizi ni petty issues kwenye Ile kitu inaitwa maendeleo
 
Sasa Kama haipo tunajihadhari nayo kwa kipi? Hata hivyo issue yangu haikuwa corona bali mtu anajejifanya kwamba bila yeye hakuna Tanzania
Baadhi ya watu waliobahatika/wanao bahatika kuwa nyuma ya mikamera wanadhani wanaakili kuliko watanania wote mimi huwa napigwa na butwaa tu!
 
Lisu dishi limeyumba
Yeye barakoa havai, social distance haweki
Juzi na Jana ameshiriki vikao na mikutano, mbona hajafanta hayo?
Au anaongelea Corona ya Ubelgiji siyo Tanzania!
Kuna ndugu yake hata mmoja amekufa kwa Corona?
Kweli bado nawashangaa wanaomshabikia huyu mzimu
 
Hivi ni wakati gani mtu anapaswa kuvaa barakoa? Naona watu mnakaririshwa tu ujinga na ninyi mnaubeba Kama ulivyo
 
Unafiki gani huu bana wa kuzungumzia Corona huko? Yeye amefuata social distancing tangu afike?

Mimi siupendi utawala huu lakini the approach on Coronavirus was spot on.
 
Lissu akiendekeza siasa za corona hatapata kura za wabongo,hasa huku uswahilini...huku raia wanavyomkubali jiwe hasa katika maamuzi yake juu ya corona ...

Halafu mi wanachoniuzi wapinzani ni kushobokea sana wakenya,wakenya kudadeki zao wametufanyia unyambilisi toka zamani sana,wanatubeza kudadeki zao..lissu angalia mienendo yako utakosa kura...
 

Kama vyombo vya hapa nchini kila akiongea wanatoa sauti unategemea aache kutumia plan b?
 
Huyu jamaa shoga kweli, asa kama kuna corona na inaua mbona toka aje hajaonekana kavaa barakoa wala kufanya self isolation!
 
Best loser anajipya gani? Huyu lissu ni mfa maji,hana atakachoambulia kwenye uchaguzi wa October, akijitahidi sana ni 5% ya kura zote

Magufuli ndio kaagiza atangazwe na hizo 5%?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…