Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Kwa nini Kenya, Kwa nini Corona, kwa nini wakati huu, Kwa nini Lissu.?
Yote haya ni maswali tafakarishi sana. Kumbuka juzi ndio kumejitokeza sakata la safari za ndege. Tusisahau ukaburu wa yule mbunge wao.
Na maswali aliyo ulizwa mi yale ya uchokonozi.
Kwa maana nyingine Kenya wanawashika mkono wapinzani wa serikali ya JMT.
Yote haya ni maswali tafakarishi sana. Kumbuka juzi ndio kumejitokeza sakata la safari za ndege. Tusisahau ukaburu wa yule mbunge wao.
Na maswali aliyo ulizwa mi yale ya uchokonozi.
Kwa maana nyingine Kenya wanawashika mkono wapinzani wa serikali ya JMT.