Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

Yule bwana mwenye maadui 12 is far better than huyo jamaa yao.
 
Kuna sehemu humu nilisema Lissu is emotionally unstable, he is clouded by emotions.
He does and speak things without reasoning properly.

Leo #Lissu_katoa_boko kwa adui.
 
Mngemsema Kwa mazuri ningelishangaa....Kwa mantiki hii inaonesha hofu mliyonayo kuhusu umadhubuti wake
 
Namfuatilia kwa karibu sana Lissu, kwa hoja zake, hulka zake, na matamshi yake. Huwa namfuatilia kwenye YouTube Lissu kabla na baada ya kupata misukosuko nawaona ni watu wawili tofauti sana.

Yule wa mwanzo alikuwa mwenye subira na mtulivu na aliyeweza kujenga hoja za kushawishi na si mwepesi wa kupanic na kupoteza focus.

Huyu wa sasa amepata tabia za kuropoka na kukosa subira, na asiyekuwa makini katika kuhakikisha havunji sheria kwa makusudi.

Nafahamu majanga makubwa yaliyompata ndugu yetu, na nampa pole sana na tunamshukuru Mungu kwa kumuokoa ndugu yetu Lissu.

Wasiwasi wangu. Je mgombea wetu Lissu ana utimamu wa akili baada ya kupitia hii misukosuko? Maana hili ni takwa la kikatiba...


Wajumbe oyee

Inawezekana ukawa na hoja za msingi, ila kuna uzi wako humu umeanzisha na una maudhui sawa na haya, ni kwanini usibaki kwenye uzi ule ule, ili uwe na muendelezo mzuri, kuliko kuanzisha nyuzi nyingi zenye maudhui karibia na sawa? Au unasaka sifa huku jukwaani nini boss?
 
Kuna sehemu humu nilisema Lissu is emotionally unstable, he is clouded by emotions.
He does and speak things without reasoning properly.

Leo #Lissu_katoa_boko kwa adui.
Mataga mnahangaika sana. Kwanza mwanaume ukijiita titi tayari ni lijinga
 
Kumbe kuna sheria imetungwa kwamba anayetangaza kuna corona Tanzania anakuwa kufanya kosa la jinai ama lile la siku zote la uchochezi...I didn't know...

Ila wenye mamlaka mkitumia kwamba hilo ni kosa mjue mmekwisha...kumbukeni WHO still inawatafutia agle nzuri kuwaadhibu...

Hivi mnajua tukinyimwa tu dawa za UKIMWI tumekwisha!! Je tuna uwezo wa kuzinunua kwa hela zetu wenyewe? kwa muda gani?

On other things we depend on these people..hawa ndiyo wanaongoza dunia...nuna ama usinune. Ulaya utabakia Ulaya na US itabakia US na huwezi kujitenga na hawa majamaa...Bali ni kujenga urafiki wa win win...aka diplomasia Imara.
 
Huyu Lissu kila siku ana kosa kubwa la kwanza. Kesho asubuhi hatakua na kosa lolote.
Wanaweza kumwengua kwa uhuni lakini si kwa kufuata sheria na kanuni za uchaguzi.

Lakini kwa kufanya hivyo watakuwa wamejiwekea doa jingine jipya mbele ya sura ya dunia.
 
Ndugu yangu Tundu Lissu, tunaomba utambue kuwa pamoja na mivutano ya kisiasa tuliyonayo nchini, linapokuja suala la kimataifa ni lazima tuwe wamoja.

Naomba nikuulize katika wale waliokuja kukupokea uwanja wa ndege hakuna hata mmoja aliyevaa taulo la usoni, je umewahi kusikia kuna mtu kafa kwa korona.

Juzi ulikuwa kwenye mkutano mkuu wa chadema na umati wa wajumbe. .Je umewahi kusikia kuna mtu anaugua korona?

Siku iliyofuata ulikuwa kwenye mkutano mkuu wa ACT. Ulipokelewa vizuri kwa shangwe na kukumbatiwa...je kuna mtu umesikia ana korona?

Ni ukosefu wa uzalendo kuituhumu nchi eti watu wanakufa na korona na takwimu zinafichwa tena kwenye vyombo vya kimataifa na cha jirani yetu ambaye ni hasimu wetu wa kiuchumi....ni ukosefu wa uzalendo kwa nchi, ni uhaini mkubwa.

Tena wewe ilitakiwa ukae karantini siku za kutosha maana umezurura sana nchi zenye korona. Usije ukatuletea korona la kibeberu hapa.

Wewe unayemshukuru Mungu amekuponya na mauti, ndiye huyo huyo aliyetuponya na Korona. Usimdhihaki Mwenyezi Mungu...

Hili limeniuzi sana

Wajumbe oyee
KWANI LINI WIZARA YA AFYA IMETANGAZA CORONA IMEISHA??


KAMA HAMTAKI LISSU ASEME HAYO.... WAMBIENI WIZARA YA AFYA WATANGAZE KUA CORONA IMEISHA.


Kilichopo nikua, Kwasababu serikali ilisita kutoa takwimu, na wizara haijatangaza kama corona imeisha..

Sio tu Lissu, hata mimi hapa ,nikiulizwa nitakuambia CORONA IPO ,CHUKUA HATUA.


LISSU ANAPOWAZIDIA MATAGA NI UTUMIAJI WA AKILI..LISSU ANATUMIA AKILI KUBWA KTK KUONGEA, MATAGA WA LUMUMBA MNATUMIA MAKALIO KIFIKIRIA.
 
Namfuatilia kwa karibu sana Lissu, kwa hoja zake, hulka zake, na matamshi yake. Huwa namfuatilia kwenye YouTube Lissu kabla na baada ya kupata misukosuko nawaona ni watu wawili tofauti sana.

Yule wa mwanzo alikuwa mwenye subira na mtulivu na aliyeweza kujenga hoja za kushawishi na si mwepesi wa kupanic na kupoteza focus.

Huyu wa sasa amepata tabia za kuropoka na kukosa subira, na asiyekuwa makini katika kuhakikisha havunji sheria kwa makusudi.

Nafahamu majanga makubwa yaliyompata ndugu yetu, na nampa pole sana na tunamshukuru Mungu kwa kumuokoa ndugu yetu Lissu.

Wasiwasi wangu. Je mgombea wetu Lissu ana utimamu wa akili baada ya kupitia hii misukosuko? Maana hili ni takwa la kikatiba...


Wajumbe oyee
nikionacho mimi target ya upinzani ni Membe na sio Lissu... naona kabisa act na chadema wakishirikiana kwenye uchaguzi ujao... na kuweka mgombea mmoja... sababu ni nini..?? sijui... muda, utaongea ngoja tuone
 
Back
Top Bottom