Tundu Lissu: Wakati mnajadili kujiuzulu kwa Spika Ndugai, mwenzenu He's laughing all the way to the Bank. Anaondoka akiwa tajiri

Hiyo calculation ya kiinua mgongo (gratuity) ni kwa mujibu wa sheria ipi maana naona kama vile upotoshaji umezidi kushika kasi.
 
Hiyo calculation ya kiinua mgongo (gratuity) ni kwa mujibu wa sheria ipi maana naona kama vile upotoshaji umezidi kushika kasi.
Hivi Stroke hata hoja huioni hapo. Ni lazima uonekane uko against Lissu ?!.

Wa Tanganyika tumerogwa somewhere. Sijui tatizo ni kuchukulia siasa kama yanga & simba !!
 
Hivi Stroke hata hoja huioni hapo. Ni lazima uonekane uko against Lissu ?!.

Wa Tanganyika tumerogwa somewhere. Sijui tatizo ni kuchukulia siasa kama yanga & simba !!
Kwahiyo unataka nikae kimya hata kama anapotosha kuhusiana na kiinua mgongo.

Hakuna mahali hapa Duniani Kiinua mgongo kinalipwa namna hiyo.
 
Kwahiyo unataka nikae kimya hata kama anapotosha kuhusiana na kiinua mgongo.

Hakuna mahali hapa Duniani Kiinua mgongo kinalipwa namna hiyo.
Tupe ufafanuzi wako mkuu. Ni vizuri tukaskia kutoka kwako pia.
 
I know this, but kwa nafasi yake kama kiongozi wa chama na kwa future plan za chama sioni sababu kwake kuendelea na kauli za aina hiyo.

Hizi lugha akiendelea nazo wapo watakaomshangaa, na siamini kama jibu sahihi kwa hao watakaomshangaa wakiuliza kwa nini anatumia lugha hizo tuwajibu kwasababu alipigwa risasi.

Kwanza yule mtuhumiwa namba moja hayupo tena, sasa kuendelea kutumia hizo kauli kwa hawa waliopo binafsi sioni maana yake.
 
Upotoshaji....

Upotoshaji katika hicho kiinua mgongo "gratuity"....
 
Kama hizo ndiyo stahili za viongozi wa kisiasa,kwa nini mnatarajia kuwa CCM wakubali mabadiliko ya aidha Katiba?
Ni dhahiri hawawezi kukuba kwa hiari yao aslani.Maovu,akili,nguvu na raslimali yoyote itakayowabakiza madarakani itatumika mpende msipende hata mkifa njaa ama ukali wa tozo/maisha wao hawajali na haiwahusu.
Bila Katiba mpya,sisi Watanzania na nchi yetu tupo mnadani na tushauzwa tayari-tunakaangwa kwa mafuta yetu wenyewe na tunaangamia kwa kunyimwa maarifa.
 
Sasa mjinga hapa kwa mtazamo wangu ni yule anayeona wanaoandamana ndio wajinga, kwasababu ni haki yao kisheria, hawa ni kama kichaa anayekimbia na nguo yako bora usimkimbize ili kutunza heshima yako.
 
Kumbe ndo maana wanaenda kwa waganga maporini huko[emoji848][emoji848]
 
Mkuu mbona kama unateseka bure!

Lissu ndivyo alivyo amekuwa na maneno makali hata kabla ya kupigwa risasi, fuatilia matamshi yake utaona maneno kama Dikteta uchwara n.k...

Nafikiri ukiwa unataka abadilike unataka asiwe Lissu labda awe Ndugai!

Maneno makali viongozi wengi wazuri wanayo, kumbuka Mwl Nyerere alivyokuwa anatumia maneno makali kwa watu wasioelewa, wajinga, wapumbavu, malayamalaya, walevi nakumbuka aliwahi kumwita Regan rais wa Marekani mjinga n.k
 
Duh!, Hapa nikuomba Ndugai atengue arudi tu kwenye uspika, inamaana huyo mwingine atalipwa kama Ndugai, mzigo kwa taifa huu
 
Labda hasira ya kunyimwa pesa ya matibabu
Amekuwa mvumilivu mno.CCM mkiambiwa mabaya yenu mnapenda sana kuhurumiwa,eti maneno makali:Ni makali kuliko risasi?Hivi Lissu hana moyo/mwili wa nyama!Ndugai aliposema ukweli wa kuuzwa kwetu mlivyomshukia kama mwewe je,ni sahihi?
Uwasilishaji wa hoja wa Mh.Lissu ni sahihi.
Alinyimwa matibabu ya majeraha ya risasi alizomiminiwa akiwa kazini na siyo ugonjwa wa kusendeka ili lengo la muuaji wake litimie,mlitaka awasujudie?
Mkuki kwa nguruwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…